EP cosmetics
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 2,470
- 3,847
Kwenu Passmark ni ngapi ?.USHENZIII MTUPU!...nilikaa na mdada alikuwa hajui kitu kenye written, alikopy kila kitu kwangu lakini kapata 58 mimi 31...siombi tena kazi serikalini
Kama wote na huyo mdada hamjachaguliwa basi kuna namna hizi marks itakuwa ni za kutengenezwa tu