KUNGUNIMSOMI
Senior Member
- Sep 8, 2013
- 169
- 160
- Thread starter
- #41
Ooh.. Asante kwa ufafanuzi.Inategemea na Ufaulu pia hata Utumishi kuna Cutt off nyingine zinakua juu sio 50.
Ooh.. Asante kwa ufafanuzi.Inategemea na Ufaulu pia hata Utumishi kuna Cutt off nyingine zinakua juu sio 50.
mmh mkuu ya kwel haya ama ndo mambo ya vijiwenYameshatoka na kuna watu wameshapokea wito wa kuitwa kazini.
Kuna dogo namfahamu kabahatika kupata kazi "KIBITI TAX REGION", atakunja 2.5M per month ya kuanzia.
Na inasemekana kuna baadhi ya agencies za serikali kama T.R.A na wengineo mamlaka ya kuajiri yamerudi mikononi mwao. USENGEUSENGE! unarudi tena kama zamani..., watoto wa masikini wataishia kuwa bodaboda na madalali kama zamani.
Wahusika walitazame hili, mambo yarudi kwenye sekretarieti ya ajira kama mwanzo.
R.I.P JPM 😔❤🙏🏾
Naomba tu nikwambie unayezungumza nae hapa sio mtu wa vijiwe... ID zetu zinaficha mengi.mmh mkuu ya kwel haya ama ndo mambo ya vijiwen
Unataka kusema uhuni umerudi tena ? Maana sio kwa malalamiko haya.Yameshatoka na kuna watu wameshapokea wito wa kuitwa kazini.
Kuna dogo namfahamu kabahatika kupata kazi "KIBITI TAX REGION", atakunja 2.5M per month ya kuanzia.
Na inasemekana kuna baadhi ya agencies za serikali kama T.R.A na wengineo mamlaka ya kuajiri yamerudi mikononi mwao. USENGEUSENGE! unarudi tena kama zamani..., watoto wa masikini wataishia kuwa bodaboda na madalali kama zamani.
Wahusika walitazame hili, mambo yarudi kwenye sekretarieti ya ajira kama mwanzo.
R.I.P JPM 😔❤🙏🏾
NIAMINI KAMANDA! MUULIZE YOYOTE MAKINI... T.R.A WANAAJILI WENYEWE KWA SASA! KAMA HAMTAKI POA! KAENI HAPOHAPOUnataka kusema uhuni umerudi tena ? Maana sio kwa malalamiko haya.
Basi hatarNIAMINI KAMANDA! MUULIZE YOYOTE MAKINI... T.R.A WANAAJILI WENYEWE KWA SASA! KAMA HAMTAKI POA! KAENI HAPOHAPO
Tokeaa mama kuruhus taasisi kupewa vibali vya kuajiri mm niliacha kuapply kazi serekaliniHabari wasaka ajira! Kuna tetesi ambao hazijathibishwa rasmi kuhusu kuitwa kwenye usahili wa mahojiano TRA!? Je ni kweli!? Tetesi zifuatazo bado hazijazibitishwa.
1. Kuwa wameita oral interview wale wa intern tu waliokuwa wanajitolea TRA.
2. Na Wameshachukua barua tayari kwa ajili ya kuripoti kazini
3. Kuwa Ile interview ambayo iliendeshwa ni formality tu,
NB: Hizi ni tetesi tu bado hazijathibishwa, kwaiyo kwa anayeweza kuthibitisha au mamlaka husika inaweza kukanusha.
Tokea tume wanyanganywe Kaz ya kuajir mm nimeachana na kazi za serekaliNililisema hili wapo waliopondea
Uliomba kada gani tuanzie hapoSiamini km aya matokeo yana uhalisia,ule mtihan maswali 3 nayajua nje ndani achana na ile multiple choice yao sikosi ata majibu 2 ya kweli kati ya 8...Matokeo sasa yanakuja nina 33
Kapata ngapi kafaulu au kushindwa mtianiManzi yangu ana degree, aliomba kazi ya office assistant ambayo sifa ni uwe na form four na cheti cha veta cha miezi 3 office assistant.
Ajabu kaibuka na maksi za ajabu Duniani . Na aliniambia mtihani ulikua rahisi sana kwake.
Tra kiboko.
ndio wanaajiri wenye lakin hiyo kusema watu tayar wameajiriwa ndo imenishtua kidogoNaomba tu nikwambie unayezungumza nae hapa sio mtu wa vijiwe... ID zetu zinaficha mengi.
T.R.A wanaajili wao wenyewe kwa sasa! Na sio T.R.A tu, taasisi kibao za serikali... Ajira portal wanabaki wanatangaza nafasi nyeti kama Ikulu na Wizara nyeti, au labda Bandari kidogo
Kuitwa oral sio suala la marks ni suala la ratio katika ushindani, kukwepa hilo tujitahidi kupiga top notch.Na bado hawajakuita oral!? Maana utumishi kwa marks izo ungeitwa oral.. Umejitaidi usikae tamaa
Zama za bwana yule ilikuwa wanaitwa watu 7,000 kugombea nafasi 10. Hahaha RIP Mwamba.Yameshatoka na kuna watu wameshapokea wito wa kuitwa kazini.
Kuna dogo namfahamu kabahatika kupata kazi "KIBITI TAX REGION", atakunja 2.5M per month ya kuanzia.
Na inasemekana kuna baadhi ya agencies za serikali kama T.R.A na wengineo mamlaka ya kuajiri yamerudi mikononi mwao. USENGEUSENGE! unarudi tena kama zamani..., watoto wa masikini wataishia kuwa bodaboda na madalali kama zamani.
Wahusika walitazame hili, mambo yarudi kwenye sekretarieti ya ajira kama mwanzo.
R.I.P JPM
🤣🤣🤣USHENZIII MTUPU!...nilikaa na mdada alikuwa hajui kitu kenye written, alikopy kila kitu kwangu lakini kapata 58 mimi 31...siombi tena kazi serikalini
Yani ni zaidi ya ushenzi aseee! Ila mama kazengua sana kuwarudishia awa jamaa jukumu la kuajili,Ni mwendo wa vimemo tu sa hv!USHENZIII MTUPU!...nilikaa na mdada alikuwa hajui kitu kenye written, alikopy kila kitu kwangu lakini kapata 58 mimi 31...siombi tena kazi serikalini
USHENZIII MTUPU!...nilikaa na mdada alikuwa hajui kitu kenye written, alikopy kila kitu kwangu lakini kapata 58 mimi 31...siombi tena kazi serikalini
Shtuka tu... kama huna ndugu vitengo endelea na udalali au subiri miujizandio wanaajiri wenye lakin hiyo kusema watu tayar wameajiriwa ndo imenishtua kidogo