Je, ni kweli Mpoki hakuhudhuria harusi ya Masanja?

Jamani hebu msituchoshe na mambo yenu.Kwani kutokuhudhuria kwake kumepunguza nini?Sasa watu wazima tuanze kuchunguza mambo ya watu jamani like serious????
dada asali ndo maana zikawepo forum mbalimbali,we nakushauri fungua the great thinker mkaongelee man evolution na moon landing consipiracy ,huku ni umbea na kufatilia maisha ya cerebrity
 
#wanaume wa dodoma
kipilipili sisi huku Dodoma hatuma mambo ya akina comedy sasa wapi na wapi tuwashobokee, kwanza ndio tunashangaa mtu kaoa basi hata jukwaa halitoshi wakati hao kina joti tunajua wana nyumba na familia
 
Back
Top Bottom