And intelligent one discusses the actions of the low minds.Low mind discusses people!!
umekuwa mwakilishi wa member wa jf? matusi yote ya nini? kama kuna mengine umesahau quote me uyaongeze bonnykessy..unamuuliza nani humu? mtafute umuulize mwenyewe! ukiitwa ki-la-za unabwetua mdomo kama mjane wa tandika.
Big Up Kwa Uwezo Mkubwa Wa Kufikiri Aliyokupa MunguNdo najiuliza na mimi
Mpenda kula Tafuta mashamba ulime mazao ya malighafi za viwanda, vitajengwa na kufungwa kwa kukosa malighafi kwa sabb ya kushupalia nonsense kama hzNa kwa nn unahisi ilikua lazima ahudhurie....??? Amepunguza nn kwa kutokuwepo kwake ambacho angekiongeza angekuwepo.....???
Angalieni clips za harusi tajwa Mtaniambia,mbaya zaidi sijaona eneo la kuombewa apology.
Je ni kwanini hakuhudhuria?
Hebu tuache unafiki enyi masadukayo ,wewe umeingia kufanya nini kwenye post ya nonsense tena umeshiriki kwa kucomment ,kwani jukwaa la kilimo hulijui,ewe mfalisayo litoe boliti machoni pakoMpenda kula Tafuta mashamba ulime mazao ya malighafi za viwanda, vitajengwa na kufungwa kwa kukosa malighafi kwa sabb ya kushupalia nonsense kama hz
Nimependa jibu lakodada asali ndo maana zikawepo forum mbalimbali,we nakushauri fungua the great thinker mkaongelee man evolution na moon landing consipiracy ,huku ni umbea na kufatilia maisha ya cerebrity
Mimi pia nimeshangaa hata kwenye insta yake mpoki hajapost chochote kutokana na ile harusi , kutakuwa kuna namnaAngalieni clips za harusi tajwa Mtaniambia,mbaya zaidi sijaona eneo la kuombewa apology.
Je ni kwanini hakuhudhuria?
Litakuwa ni jambo kubwa Sana maana ingekuwa hawana bifu angepost hata kuwapongeza lakn sijaona mpaka nikajiulizaNachojiuliza ni jambo gani kubwa hivyo watu hata adui yako akioa tunaendaga msibani
dada umeingia jukwaa linaitwa "celebrities forums" ulitegemea humu kukuta kinaongelewa nini zaidi ya CELEBRITIES? Watu wengi wanakosea sana kujaji mada za humu sijui kwa nn wanashindwa kutambua maudhui ya hili jukwaa.inaonesha wewe ni muumini wa "great thinkers" jaribu kuheshimu lengo la hili jukwaa.sio kila siku tuongelee siasa,biashara na the likes,sometimes unahitaji kurelax akili.Jamani hebu msituchoshe na mambo yenu.Kwani kutokuhudhuria kwake kumepunguza nini?Sasa watu wazima tuanze kuchunguza mambo ya watu jamani like serious????
mbona alimpostLitakuwa ni jambo kubwa Sana maana ingekuwa hawana bifu angepost hata kuwapongeza lakn sijaona mpaka nikajiuliza
Hii barua yako ilichukua dakika ngapi kuiandika?Aiseee una moyo wa uandishidada umeingia jukwaa linaitwa "celebrities forums" ulitegemea humu kukuta kinaongelewa nini zaidi ya CELEBRITIES? Watu wengi wanakosea sana kujaji mada za humu sijui kwa nn wanashindwa kutambua maudhui ya hili jukwaa.inaonesha wewe ni muumini wa "great thinkers" jaribu kuheshimu lengo la hili jukwaa.sio kila siku tuongelee siasa,biashara na the likes,sometimes unahitaji kurelax akili.