Godfrey Mwaja
Member
- Oct 15, 2010
- 24
- 0
Ni kweli mahanga alikamatwa na mabox ya kura..?, kama ni kweli amechukuliwa hatua gani..?, mbona yule aliyekamatwa na karatasi 2 shinyanga amefungwa miaka 3, na vipi aliympatia hiyo karatasi amechukuliwa hatua gani..?