Taarifa ya CAG hakuna hatua zozote zilizochukuliwa dhidi ya viongozi wazembe na wabadhilifu endeleeni kuiamini serikali hii

RWANDES

JF-Expert Member
Jun 12, 2019
1,615
3,909
Ukweli ni kwamba taarifa ya CAG imeonesha madudu mengi ndani ya serikali lakini tujiulize Nani amechukuliwa hatua? Kama CAG anapewa pesa nyingi kwa ajiri ya ukaguzi na hatua hazichukuliwi ni Bora pesa hiyo iwe inapelekwa kwenye miradi ya maendeleo hayo maigizo tunayoyaona bungeni ya kufokeana na kuombana taarifa hayana msingi wowote.

Hela ya umma inaliwa na wachache tena unakuta ni mikopo kutoka nje halafu tunalipa Sisi aisee hii ni dharau kubwa kwa wananchi.
 
Ukweli ni kwamba taarifa ya CAG imeonesha madudu mengi ndani ya serikali lakini tujiulize Nani amechukuliwa hatua? Kama CAG anapewa pesa nyingi kwa ajiri ya ukaguzi na hatua hazichukuliwi ni Bora pesa hiyo iwe inapelekwa kwenye miradi ya maendeleo hayo maigizo tunayoyaona bungeni ya kufokeana na kuombana taarifa hayana msingi wowote.

Hela ya umma inaliwa na wachache tena unakuta ni mikopo kutoka nje halafu tunalipa Sisi aisee hii ni dharau kubwa kwa wananchi.
Serikali ya ccm hata aongoze malaika kutokambinguni haitabadilika
 
Ukweli ni kwamba taarifa ya CAG imeonesha madudu mengi ndani ya serikali lakini tujiulize Nani amechukuliwa hatua? Kama CAG anapewa pesa nyingi kwa ajiri ya ukaguzi na hatua hazichukuliwi ni Bora pesa hiyo iwe inapelekwa kwenye miradi ya maendeleo hayo maigizo tunayoyaona bungeni ya kufokeana na kuombana taarifa hayana msingi wowote.

Hela ya umma inaliwa na wachache tena unakuta ni mikopo kutoka nje halafu tunalipa Sisi aisee hii ni dharau kubwa kwa wananchi.
Kuwa na subra, fanya mazoezi uwe na pumzi ya kuwa mustahimilivu
 
Ukweli ni kwamba taarifa ya CAG imeonesha madudu mengi ndani ya serikali lakini tujiulize Nani amechukuliwa hatua? Kama CAG anapewa pesa nyingi kwa ajiri ya ukaguzi na hatua hazichukuliwi ni Bora pesa hiyo iwe inapelekwa kwenye miradi ya maendeleo hayo maigizo tunayoyaona bungeni ya kufokeana na kuombana taarifa hayana msingi wowote.

Hela ya umma inaliwa na wachache tena unakuta ni mikopo kutoka nje halafu tunalipa Sisi aisee hii ni dharau kubwa kwa wananchi.
Report ya CAG ni kitabu cha kujisomea Kama vitabu vingine

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Ukutwe unachoma mkaa. Utafungwa miaka 30 jela ila mafisadi ya mabilion wapo mtaani wanastarehe.
Miaka zaidi ya 50 bado kuna mgao wa umeme
 
Mfumo mzima kiutawala umeoza kiuadilifu kuanzia ofisi kuu.Mihimili yote inanuka uozo wa kiudilifu.Hakuna wa kumchulia hatua mwenziwe.Hela zitaendelea kutafunwa,kelele zitaendelea kila siku,wakubwa wataendelea na blabla kwenye vipaza sauti na screen,waheshimiwa wataendelea na maisha yao ya anasa huku umasikini ukiongezeka,wabunge wataendelea kulalamika na kupiga kelele bila ya kuchukua hatua na hali mamlaka wanayo,wakati wa uchaguzi walewale wachovu watarudi madarakani n.k. Hiyo ndio Tz
 
Ukweli ni kwamba taarifa ya CAG imeonesha madudu mengi ndani ya serikali lakini tujiulize Nani amechukuliwa hatua? Kama CAG anapewa pesa nyingi kwa ajiri ya ukaguzi na hatua hazichukuliwi ni Bora pesa hiyo iwe inapelekwa kwenye miradi ya maendeleo hayo maigizo tunayoyaona bungeni ya kufokeana na kuombana taarifa hayana msingi wowote.

Hela ya umma inaliwa na wachache tena unakuta ni mikopo kutoka nje halafu tunalipa Sisi aisee hii ni dharau kubwa kwa wananchi.
Tatizo siyo serikali bali ni CCM
 
Mkubwa alisharuhusu kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake, hivyo kuna ruhusa maalum ya kutumia katika eneo lako la kazi.
 

Hawa ambao mtumishi akiiba pesa za umma Mpanda anawajibishwa kwa kutolewa Mpanda na kupelekwa Nachingwea ndio mnategemea wachukue hatua?

Katika kitabu cha nchi yetu, uwajibikaji ni ukurasa uliochanwa na kuchomwa moto na serikali ya CCM.
 
Back
Top Bottom