Ila nakuomba mshana jr, usikate tamaa, endelea kuitoa elimu ambayo unayo, maana kuna matusi na maneno makali makali tu naamini unashushiwa pindi tu ukitoa maada zako, ila usijali aisee, endelea kutupa elimu hiyo tusiyoijua wengine, usichoke aisee. Mungu azidi kukupa nguvu ya kuitoa elimu hiyo pamoja na changamoto nyingi unazozipata. Barikiwa sana.
Ahsante!
Hehehe mkuu I don't see a point in arguing with voodoo, simply because it doesn't exist and you have never experienced it nor can you prove it.
Am curious to know what you know about my username though!!
Wacha porojo, jicho la tatu haimaanishi "kuona yasiyoonekana katika macho ya kawaida na kusikia pia ikiwemo na ufahamu wa yajayo".
Nnakushauri kwanza kasome kuhusu nadharia ya jicho la tatu au uliza ni nini hicho kabla hujaja kuwajaza watu ujinga ulio nao.
Soma kuhusu "ajna" na "chakra'.
Ukichaa husababishwa na mengi na uko wa aina nyingi.
Science has not yet taught us if madness is or is not the sublimity of the intelligence - Edgar Alan Poe
Hapo kwenye mizimu umekosea kidogo Mkuu, mtu akishakufa roho yake inakaa sehemu husika kusubiri hukumu. Ukiona nafsi ya mtu ambae inatangatanga na kuwatokea watu ndo tunaita MZUKA. Ila mizimu ni tofauti kabisa na roho za watu. Kwa kifupi nijibu tu kwamba Mizimu ni majini ila inatenda kazi tofauti kabisa na majini mengine ktk ufalme wa shetani.Maruhani ni roho ambazo kwa sehemu kubwa zinaishi nchi kavu, majini kwa sehemu kubwa wanaishi baharini na mizimu ni roho za wafu
Hiyo dawa mpk sasa na sio usiku tu hta mchana na tena mchana ndo wa kumwaga na asilimia kubwa ya unaowaona kariakoo wanatembea kikawaida ni majini na waliobaki ni binadamu ambao ukipakwa hyo dawa au ukiwa na uwezo ama kuna kioo fulani ukiwamulika unaona wapo ktk mavazi tofauti na pia kuna maduka mengne kkoo wanauza majini na wanamiliki majini kbsa
Yaan huyu kiumbe JINI ni kiumbe kishezi sana anatumia udhaifu wa binadamu kumtesa uwe mshilika wake atkutesa na usiwe nshilika wake atakutesa pia yaan hakuna unafuu ikiwa bdo ujamjua yeye ninani hasa na anafanya nini kwa ajili ya nini na kwa faida gani ili iweje
Huku kitaani tulikuwa na jamaa mmoja, alikuwa na uwezo wa kuona watu wa baya. Kuna siku wakati tumekaa maskani akawa anapita binti mmoja, akatuambia huyo dada anayekuja hajavaa nguo yoyote mwilini, kuna mmoja wetu akabisha. Alipomwita yule dada, yule dada aliona aibu kupita kiasi. Na alikuwa anatuambia kwa mfano pale posta mpya kuna mauzauza mengi sana. Na nimakazi ya roho chafu nyingi sana.
Kwa macho yako ya kawaida ulimuona uyo mdada kavaaje?
Huku kitaani tulikuwa na jamaa mmoja, alikuwa na uwezo wa kuona watu wa baya. Kuna siku wakati tumekaa maskani akawa anapita binti mmoja, akatuambia huyo dada anayekuja hajavaa nguo yoyote mwilini, kuna mmoja wetu akabisha. Alipomwita yule dada, yule dada aliona aibu kupita kiasi. Na alikuwa anatuambia kwa mfano pale posta mpya kuna mauzauza mengi sana. Na nimakazi ya roho chafu nyingi sana.
Kwa macho yako ya kawaida ulimuona uyo mdada kavaaje?
Alikuwa amevaa kawaida tena kiheshima, kitendo cha yule Dada kuitwa na kujisikia aibu kubwa kupita kiasi ilitupa maswali mengi.
Na nakumbuka alimwambia ikitokea siku nyingine umerudia tena nitakuaibisha.
Hahhahahaaaa kama ungelijua hilo si ungeleta post tangu mwanzo, replies za namna hii kwangu ni burudani mwanzo mwisho na sibabaiki nazo
Kwa ufupi wewe ni BONGE LA MPUUZI na utakuwa hivyo mpaka mwisho wa uhai wako! Kumbuka hili neno kuwa wewe ni BONGE LA MPUUZI kila siku ukipiga mswaki asubuhi kuanzia leo mpaka siku unakufa, usisahau hili kuwa mshana jr kakuita BONGE LA MPUUZI kila uamkapo na upigapo mswaki
Hapo kwenye mizimu umekosea kidogo Mkuu, mtu akishakufa roho yake inakaa sehemu husika kusubiri hukumu. Ukiona nafsi ya mtu ambae inatangatanga na kuwatokea watu ndo tunaita MZUKA. Ila mizimu ni tofauti kabisa na roho za watu. Kwa kifupi nijibu tu kwamba Mizimu ni majini ila inatenda kazi tofauti kabisa na majini mengine ktk ufalme wa shetani.