Neema j swai
Senior Member
- Mar 27, 2017
- 177
- 101
We walikuambia virus vinaish hewan kwa mda ganNiliambiwa hivyo ila wakaona wanipe dawa tu Kwa uhakika zaidi
We walikuambia virus vinaish hewan kwa mda ganNiliambiwa hivyo ila wakaona wanipe dawa tu Kwa uhakika zaidi
Achana na huyu huku usiskilze kla mtu wako ambao watakutia moyo na wako ambao wanapenda jokes watakutisha tu kukuogopeshaKwanini ni mwongo?
NgapDakika chache sana
sasa mkuu ajabu ni kuwa tunasomesha wataalamu wetu nje hukohuko kwao kwanini wakirudi wasiweze kugundua hiyo dawa? kwanini wazungu tu?Amin amin nawaambien mtu mweupe anatuhadaa sana,,, dawa ya ukimwi ipo hapo ndipo ninapoamin kuwa hawa watu weupe ni nyoka mana mipango yao mingi imejificha kwenye long term planning.. hapa wanakipindi chao ambacho ni officialy kabisa naamin muda huo tutangaziwa kuwa UKIMWI SASA UMEFIKA MWISHO.
Hwatauacha ulimwengu hivhiv naamin watakuwa na jingine tu,, mara baada ya ukimwi kufika mwisho.
Ebola ilipoanza kuwatoa makamasi fasta wakatoa dawa maramoja walizoficha kwenye maabara zao...
hawa majamaa wamemfanya mwafrika analala kama mfungwa na gereza, kitanda na net..
wanabadilisha dozi ya malaria kila leo......... ......
Huyo aliyemez hizo daw baad ya siku kumi ni muongo sana sijawahi onaKwanini ni mwongo?
Nimekwambia hivi Neema j swai usipotoshe umma haiwezekani umeze baada ya siku nne hizo dawa hazitakuwa na faida yeyote mwiliniAchana na huyu huku usiskilze kla mtu wako ambao watakutia moyo na wako ambao wanapenda jokes watakutisha tu kukuogopesha
Huo ni uongo hakuna PEP ya kumeza baada ya siku nneWe baki hvyo hvyo kusema ni uongo
Cjakuambia Pep nmekwambia Revivo capsulesHuo ni uongo hakuna PEP ya kumeza baada ya siku nne
Tucbishane sana we c una smart google REVIVO CAPSULES Alaf soma maelezo yake den unipe jibuHuo ni uongo hakuna PEP ya kumeza baada ya siku nne
sasa mkuu ajabu ni kuwa tunasomesha wataalamu wetu nje hukohuko kwao kwanini wakirudi wasiweze kugundua hiyo dawa? kwanini wazungu tu?
kisa cha kuizuiazuia ni kipi au ni ghali sana? kama inawekwa tu hatimaye inakuwa expired?Inaitwa pep ila upewi mpaka serikali iamue au ume umebakwa so utapewa pf3 ndo utapewa hiyo dozi bongo bahati mbaya
OOOOooh Neema j swai basi mama nimekuacha hakuna dawa inayoitwa PEP by the way hiyo ni terminology tu ya medical tafsiri yake ni dawa anayopewa mgonjwa baada ya kuwa exposed katika ugonjwa fulani ili kuzianusimdhuru ila unachokiongea wewe mama mmmmhTucbishane sana we c una smart google REVIVO CAPSULES Alaf soma maelezo yake den unipe jibu
Msaada wako tafadhaliOOOOooh Neema j swai basi mama nimekuacha hakuna dawa inayoitwa PEP by the way hiyo ni terminology tu ya medical tafsiri yake ni dawa anayopewa mgonjwa baada ya kuwa exposed katika ugonjwa fulani ili kuzianusimdhuru ila unachokiongea wewe mama mmmmh
Msaada wako tafadhali
okay iko hivi PEP zinakuwa effective within 72hours baada ya kuwa umekuwa exposed na virusiKwa mujibu wa comment yako Neema J Swai kapotosha, msaada wa kuweka mambo sawa unahitajika