Je ni kweli kuna dawa ya kuzuia VVU visikuathiri ndani ya masaa 72 ya maambukizi?

okay iko hivi PEP zinakuwa effective within 72hours baada ya kuwa umekuwa exposed na virusi
Mimi nimeshamaliza dozi,ila naogopa sana kwenda kupima,kwasababu wakati mwingine ilikuwa inatokea dharura navuka mpaka saa nzima badala ya kumeza saa 6 kamili najikuta nimemeza saa 7 ilinitokea mara mbili hivi,nakumbuka nilisisitizwa sana nimeze dawa muda uleule kila siku.
 
Post Exposure Prophylaxis (PEP), si ndio eee!
Vipi ilikusaidia ndugu? Mimi full wasiwasi hapa mara kadhaa ilinitokea sikumeza dawa kwa wakati, japokuwa nimemaliza dozi lakini nahisi kama niliivuruga haijanisaidia
 
ni kweli unapewa dozi ya PEP ya siku 28....kunywa usiku unapolala

Kwa kuongezea:- PEP (Post Exposure Prohylaxis) ni utaratibu wa utoaji dawa kwa ajili ya kuuzuia maambukizi ndani ya masaa 72 kwa mtu aliyekumbana na hatari ya kupata maambukizi ya Virusi vya ukimwi kutoka kwa mtu aliye na maambukizi. Dawa itolewayo ina mchannganyiko wa viambata vya aina tatu katika kidonge (FDC/Fixed dose combination) ambavyo ni Tenofovir Disoproxil Fumarate + Lamivudine + Efavirenz !!
 
Amin amin nawaambien mtu mweupe anatuhadaa sana,,, dawa ya ukimwi ipo hapo ndipo ninapoamin kuwa hawa watu weupe ni nyoka mana mipango yao mingi imejificha kwenye long term planning.. hapa wanakipindi chao ambacho ni officialy kabisa naamin muda huo tutangaziwa kuwa UKIMWI SASA UMEFIKA MWISHO.

Hwatauacha ulimwengu hivhiv naamin watakuwa na jingine tu,, mara baada ya ukimwi kufika mwisho.
Ebola ilipoanza kuwatoa makamasi fasta wakatoa dawa maramoja walizoficha kwenye maabara zao...

hawa majamaa wamemfanya mwafrika analala kama mfungwa na gereza, kitanda na net..
wanabadilisha dozi ya malaria kila leo......... ......
Kwani ipo kataza nyie mutu nyeusi kupata dawa
 
nishakunywa PEP mara2 baada y kugonga malaya bila condom, ila upatikanaje wake n mbinde
 
Amin amin nawaambien mtu mweupe anatuhadaa sana,,, dawa ya ukimwi ipo hapo ndipo ninapoamin kuwa hawa watu weupe ni nyoka mana mipango yao mingi imejificha kwenye long term planning.. hapa wanakipindi chao ambacho ni officialy kabisa naamin muda huo tutangaziwa kuwa UKIMWI SASA UMEFIKA MWISHO.

Hwatauacha ulimwengu hivhiv naamin watakuwa na jingine tu,, mara baada ya ukimwi kufika mwisho.
Ebola ilipoanza kuwatoa makamasi fasta wakatoa dawa maramoja walizoficha kwenye maabara zao...

hawa majamaa wamemfanya mwafrika analala kama mfungwa na gereza, kitanda na net..
wanabadilisha dozi ya malaria kila leo......... ......
Hakuna dawa ya ukimwi ndugu, wataalam wako mbioni kutafuta chanjo ya ukimwi, dawa wanazopewa wale waliopata ajali mfano kujichuma na sindano wakiwa kazini ni dawa hizohizo wanazopewa wagonjwa waliokwisha athirika, hakuna dawa special ila hizi dawa kwa ma group, first line na second line, kama first line ikishindwa kumsadia muathirika anabadilishiwa na kupewa second line na hii utokea pale viral load inapokuwa kubwa au mgonjwa kutengeneza resistance kwa kutokula dawa kwakufuata taratibu na masharti. Tutafute taarifa tusipotoshe...
 
Mwaka juzi nili do na demu mmoja hivi kavu, baadae kesho yake nikasikia kuwa ana ngoma ikabidi niwahi amana fasta, nikapewa hizo dawa za PEP, nikatumia siku ya kwanza nilihisi kama dunia inazunguka mara ya pili nikawa nashidwa hata kutembea sabb ya kizunguzungu, nikazitupa nikasema liwalo na liwe, Ila namshukru MUNGU nilitoka Salama baada ya siku 90,kuanzia siku hiyo nikamua kumrudia Mola wangu, maana nilivuta picha kama nimetumia siku mbili imekuwa hivi" je kwa mgonjwa wa VVU anayetumia dawa kama hizi kwa maisha yake yote. Siwahi ona vidonge vikali kama hivyo
 
Mimi nimeshamaliza dozi,ila naogopa sana kwenda kupima,kwasababu wakati mwingine ilikuwa inatokea dharura navuka mpaka saa nzima badala ya kumeza saa 6 kamili najikuta nimemeza saa 7 ilinitokea mara mbili hivi,nakumbuka nilisisitizwa sana nimeze dawa muda uleule kila siku.

Relax bro you will be okay,

Ila hata kama ukienda kupima kumbuka hii sio 100% safe.
 
Mimi nimeshamaliza dozi,ila naogopa sana kwenda kupima,kwasababu wakati mwingine ilikuwa inatokea dharura navuka mpaka saa nzima badala ya kumeza saa 6 kamili najikuta nimemeza saa 7 ilinitokea mara mbili hivi,nakumbuka nilisisitizwa sana nimeze dawa muda uleule kila siku.
Mkuu we neenda ukapime zile dawa zina nguvu za ajaabu. Si unakumbuka siku ya kwanza kumeza ilikuaje!!! Kama ni hizo siku 2 tu. Mambo ni fresh. Hapo nadhani umeshanielewa vizuri.
 
Mkuu we neenda ukapime zile dawa zina nguvu za ajaabu. Si unakumbuka siku ya kwanza kumeza ilikuaje!!! Kama ni hizo siku 2 tu. Mambo ni fresh. Hapo nadhani umeshanielewa vizuri.
Sio siku ya kwanza tu mkuu mpaka leo hii zinanitesa ila nilishamaliza dozi wiki mbili zimepita, siku 30 zilikuwa nyingi usipime nilikuwa nahisi zitaniua lakini nashukuru Mungu nimemaliza, najiuliza je hawa wenzetu wanaokunywa mfululizo miaka zaidi ya kumi inakuwaje?
 
Sio siku ya kwanza tu mkuu mpaka leo hii zinanitesa ila nilishamaliza dozi wiki mbili zimepita, siku 30 zilikuwa nyingi usipime nilikuwa nahisi zitaniua lakini nashukuru Mungu nimemaliza, najiuliza je hawa wenzetu wanaokunywa mfululizo miaka zaidi ya kumi inakuwaje?
Mi nadhani nitofauto na hizi. Sababu ukimeza tu. Huwezi fanya chochote. Alafu zinakata hamu ya kula.
 
Mkuu we neenda ukapime zile dawa zina nguvu za ajaabu. Si unakumbuka siku ya kwanza kumeza ilikuaje!!! Kama ni hizo siku 2 tu. Mambo ni fresh. Hapo nadhani umeshanielewa vizuri.
a5b7f9405ef05e53b8c108c20f0a49f9.jpg
 
Back
Top Bottom