Mkuu nipe matokeo yakenishakunywa PEP mara2 baada y kugonga malaya bila condom, ila upatikanaje wake n mbinde
Dawa ndiyo biashara ya pili kwa faida baada ya unga kwa hiyo kutokana na uhakika wa biashara lazima kuwe na kitengo cha masoko ambacho pia kitazalisha magonjwa ambayo baadaye yanakuja kuleta soko baadaye.Amin amin nawaambien mtu mweupe anatuhadaa sana,,, dawa ya ukimwi ipo hapo ndipo ninapoamin kuwa hawa watu weupe ni nyoka mana mipango yao mingi imejificha kwenye long term planning.. hapa wanakipindi chao ambacho ni officialy kabisa naamin muda huo tutangaziwa kuwa UKIMWI SASA UMEFIKA MWISHO.
Hwatauacha ulimwengu hivhiv naamin watakuwa na jingine tu,, mara baada ya ukimwi kufika mwisho.
Ebola ilipoanza kuwatoa makamasi fasta wakatoa dawa maramoja walizoficha kwenye maabara zao...
hawa majamaa wamemfanya mwafrika analala kama mfungwa na gereza, kitanda na net..
wanabadilisha dozi ya malaria kila leo......... ......