Je ni kweli kuna dawa ya kuzuia VVU visikuathiri ndani ya masaa 72 ya maambukizi?

Dah mmenikumbusha nilienda kuoga nikajikata Na wembe ambao ulikuwa bafuni kuna mdada alitoka nyoa alafu sasa dada anabalaa sio kwa kugawa kule bumunda kama pipi aseh niliteseka Na mawazo balaaa kumbe hisia zangu tu nimekaa kama six month nawaza tu Yan nimepima juzi juzi apa fresh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amin amin nawaambien mtu mweupe anatuhadaa sana,,, dawa ya ukimwi ipo hapo ndipo ninapoamin kuwa hawa watu weupe ni nyoka mana mipango yao mingi imejificha kwenye long term planning.. hapa wanakipindi chao ambacho ni officialy kabisa naamin muda huo tutangaziwa kuwa UKIMWI SASA UMEFIKA MWISHO.

Hwatauacha ulimwengu hivhiv naamin watakuwa na jingine tu,, mara baada ya ukimwi kufika mwisho.
Ebola ilipoanza kuwatoa makamasi fasta wakatoa dawa maramoja walizoficha kwenye maabara zao...

hawa majamaa wamemfanya mwafrika analala kama mfungwa na gereza, kitanda na net..
wanabadilisha dozi ya malaria kila leo......... ......
Dawa ndiyo biashara ya pili kwa faida baada ya unga kwa hiyo kutokana na uhakika wa biashara lazima kuwe na kitengo cha masoko ambacho pia kitazalisha magonjwa ambayo baadaye yanakuja kuleta soko baadaye.
Zipo njia nyingi za wazungu kutengeneza masoko ni kupitia kilimo, magonjwa, bidhaa za mtumba zivaliwazo bila kufuliwa, Vifaa chakavu vitokavyo ulaya kama kompyuta na magari huwekewa mionzi ambayo ni direct effective kwa binadamu that's why rate ya kansa afrika kwa sasa iko juu sana.
Ushauri tu ni kwamba usiishi kwa kucomplicate sana maisha kula vitu vya asili sana kuliko vya kusindikwa na kutopenda kutumia ac za magari kwa muda mrefu sana, kulima mbegu za asili za mazao yetu kama zamani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom