Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,627
I second you kabisa yaani.......binafsi sikupingi kuna toto moja kila likinitafuta basi nakuwa sina mkwanja hadi naonekana mzinguaji.
ila kuna dem mmoja niliwahi kuwa nae daa yaani haipiti siku tatu unaitwa tu kwenye mishe fulani na mkwanja wa maana unapata, ubaya nilimpoteza kijinga sana na now ni single maza ila alikuwa na nyota ya kuleta mambo mazuri tu kwangu.