Je, ni kweli IPTL imewasha mitambo yake?

Je, ni kweli IPTL imewasha mitambo yake?

Mkuu mimi nahitaji umeme upatikane, hata ukizalishwa na shetani,
Kwa kutumia generator, gharama zinakuwa juu sana ktk kazi zangu,
Umenikumbusha kipindi cha uchaguzi na majibu ya baadhi ya watu eti'mimi siwezi kwenda kupiga kura,yeyote atakayeshinfa ashinde,kikubwa mimi napiga kazi zangu'.
 
Ukiona jamii yeyote imefanya ulalamishi kuwa jadi yake ,basi hiyo ni jamii iliyo jaa wapumbavu.
Kumbe umeona, wabongo wengi walalamishi sana,, umeme hamna wanalaumu, umeme ukija wanalaumu,,
Ndege hamna watalaumu, ndege zipo watalaumu,, hii yote ni madharA ya kudekezwa utotoni😁
 
Kwahiyo wewe unatakaje??

Hebu jaribu na wewe kuchukua hatua... Usiishie kulalamika tu.
Ndio maana mm silalamiki kwa sababu najua hata nikilalamika sitabadilisha lolote.

Tatizo linakuja kwa hawa wanao shinda humu kila siku kulalama tu hata kwenye mambo ya kipumbavu huku wamejificha nyuma ya ID feki.
 
Nikiondoka mambo yatarudi palepale. Si ameondoka? Unategemea nini? Yote aliyaona ndio maana kasema alijitoa sadaka kwa akili ya Taifa la Tz
Alijitoa sadaka kizembe sana mana hakuna mkakati wowote aliuwacha angeangazia mambo matatu muhimu KATIBA,UHURU WA VYOMBO VYA HABARI NA TUME HURU YA UCHAGUZI alafu aondoke uone kama tungewashidwa hawa wezi..
 
Kuna taarifa naiona kwamba IPTL imewasha mitambo na ishazalisha umeme na kuingiza TANESCO, huu ndiyo uhaba uliyokuwa unatengenezwa watu wapige pesa.

Hii migao ni ya kutengeneza watu wapige pesa.

Msinichoshe nisiwachoshe, twende tuone.View attachment 2435457
Juzijuzi watu waliandaliwa kisaikolojia, Mkurugenzi wa Tanesco alisema hawaogopi watafanya na private sekta.

Tanesco tangu 1991 ni conduit mojawapo ya upigaji wa fedha za umma.
 
Mkuu mimi nahitaji umeme upatikane, hata ukizalishwa na shetani,
Kwa kutumia generator, gharama zinakuwa juu sana ktk kazi zangu,

Na wao wanalijua hilo na ndiyo maana walikata maji na umeme kwa makusudi to bring you to your knees, lkn usichokijua ni kwamba huo umeme wao hautaweza kuulipia hata ukipatikana kwani ni lazima wataongeza bei kwa kWh utakayonunua na siajabu hata ikazidi unayotumia ya generator.

Dont give in so easily, usifikiri kwamba kwa wewe kukubali hivyo wanavyokufanyia ndio wataishia hapo, bado watahamia pengine pia, hawa watu ni psychoaths wanakuona wewe na wengine kama objects tu, to them you are not human, …
 
Bila wananchi kuamua kuachana na CCM kama tulivyopambana na mkoloni itatugharimu sana.

Wenyewe huko wameshindwana na kuacha wenye nguvu watupelekeshe!! Uchaguzi ujao kauli mbiu iwe "CCM inatosha" ...
 
Hizi Mvua Kwenye Mabwawa Hazinyeshi Ama Kumkoma Nyani Giladi
 
Mi nilijua tu!

Mgao ulianza mapema sana,,,mwezi January baada ya kipara kuwa ndiye tena mvua zilikuwa Bado zinanyesha!!

Sasa ni rasmi kipara atabadilishiwa wizara au kupigwa chini baada ya mission kukamilika!

Mungu IBARIKI TANZANIA
Sana kubadilishiwa wizara,sio kupigwa chini
 
Umenikumbusha kipindi cha uchaguzi na majibu ya baadhi ya watu eti'mimi siwezi kwenda kupiga kura,yeyote atakayeshinfa ashinde,kikubwa mimi napiga kazi zangu'.
Haya sasa
 
Siku zimepita hatujazimiwa umeme kidogo niwapigie TANESCO niwaulize kama kuna tatizo 🥴
 
Alijitoa sadaka kizembe sana mana hakuna mkakati wowote aliuwacha angeangazia mambo matatu muhimu KATIBA,UHURU WA VYOMBO VYA HABARI NA TUME HURU YA UCHAGUZI alafu aondoke uone kama tungewashidwa hawa wezi..
Kizembe?,hivi unaelewa chochote kweli wewe mtoto wa kike kuhusu hii nchi?,wewe ni
 
Kwani serikali bado haijataifisha hoyo mitambo?
 
Back
Top Bottom