Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 57,533
- 91,120
Umesahau kumtaja Lissu na CHADEMA?!
IPTL wamewasha mitambo yao lakini mbona mgao wa umeme uko palepale?
Hapa ninapoandika hakuna umeme Kariakoo wakati kariakoo ndiyo ikulu ya uchumi wa Tanzania


