Kiukweli nakunywa na ubaya nakun'guta kila aina ya pombe makata break buza mataputapu Heineken wines gongo vodka konyagi... nachanganya ladha.Na ww unakunywaa? Em kwanza nidokoze vp mtakatifu anaonja
Atakuwa yuko buzy pengine.jf si ya mchezo mchezo ukimuita mtu asipokuja ujue yuko buzy au anaogopa maswali
Mdogo wangu huyu atakuwa anaogopa maswali sio bure. [emoji124] [emoji124]Atakuwa yuko buzy pengine.jf si ya mchezo mchezo ukimuita mtu asipokuja ujue yuko buzy au anaogopa maswali
Daaah umetisha hadi mataputapu[emoji119] [emoji119]Kiukweli nakunywa na ubaya nakun'guta kila aina ya pombe makata break buza mataputapu Heineken wines gongo vodka konyagi... nachanganya ladha.
Mtakatifu hapa ajisemee maana kuna wale wanavuta ila wanavutia washing room
Jirani pombe Tamu karibuniDaaah umetisha hadi mataputapu[emoji119] [emoji119]
Kitu kichungu hivo mnapendea nn sasaJirani pombe Tamu karibuni
Je wakati huyo jamaa anaongea hayo alikuwa ashatundika chupa ngapi? je na wewe ulikuwa ushatundika ngapi? Je ushawahi kutana nae kesho yake akiwa hana pombe kichwani ukamuuliza alikuwa anamaanisha nini? MAANA sisi kujua alikuwa anamaanisha nini itabidi mpaka weekend tukiwa tumeutundika kama yeye.Jamani naombeni nianze moja kwa moja kwenye mada, maana kuna sehemu nilikuwa napata moja moto moja baridi sasa mwenzangu mmoja baada ya kukolewa na maji akatoa kauli hii "hapa ni kunywa na kukojoa ila heshimu nyege tu, maana bila nyege usingezaliwa wewe" JE KUNA UKWELI HAPA?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unavyonishangaa ndivyo ninavyokushangaa. Hivi huwa ukichoka na kazi hasa weekend unaenda wapi? Ulishawahi kwenda Bar! Ukienda unaagiza nini? Maji au PepsiKitu kichungu hivo mnapendea nn sasa
Pepsi dare for mooUnavyonishangaa ndivyo ninavyokushangaa. Hivi huwa ukichoka na kazi hasa weekend unaenda wapi? Ulishawahi kwenda Bar! Ukienda unaagiza nini? Maji au Pepsi
Usiongee hivyo bwana unanikata maini ujueHayo ni maoni yao lakini pia sisemi hayana ukweli moja kwa moja ila hapa kila mtu anasoma na anaona basi tufanye kitu kimoja.
Kama kuna mdada hapa JF niliwahi kukufuta PM nikakushushia mistari Mimi mwenyewe nakuruhusu bila shaka yoyote njoo hapa useme ukweli.
Wallah simwachi huyu ni fresh kabisaaaaaaa.mbn huyu pm nitamfundisha mimi namna ya kuingia jirani .Aisee chakorii uyu mtu sio wa kumuachia ata pm hajawahi kwenda
Hahaaa. Best hiyo ni tabia ya mtu binafsi na sidhani kwamba zinaenda pamoja kwamba usipokuwa mlevi lazima upende sketiTatitzo wanatuonea sisi wanatwambia tunapenda gauni.
Basi ngoja na Mimi nigonge like kwanza
Hahaaaa na hatimae umemvutaaaWallah simwachi huyu ni fresh kabisaaaaaaa.mbn huyu pm nitamfundisha mimi namna ya kuingia jirani .
Subira haivuti heri peke yake bali huvuta watu pm pia.
Haaaaa tena weweeeeee...jirani huwezi amini hata huu mwandiko wako unanukia chang'aa na balimi.Jirani mimi kiukweli kuonja siachi.... pombe ni Tamu saana ila siyo kila siku
Yani huyu laana yake ni ya kiwango cha lami.maana ilikuwa chapa ilale hakuna kukumbukana.Teeeh laana nn[emoji87]
Hapana balimi si pombe bali ni uji wa uleziHivi Balimi ni Pombe? Mimi sijawahi kunywa Pombe maishani mwangu huwa najinyweaga Mabalimi tu wajameni
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawezi kujua aisee sis watu wa Mungu tunawatafuta hawa
Ila isije kua ndo hagusi lakn upande mwingine ndo mwenyew
Basi ukiona hivyo tean domo zege. broo watu wanasema by experienceNyinyi jadilini tu ila siogopi kusema vile nilivo, ila kwa vile watu hapa hatufahamiani kiuhalisia inakuwa ngumu kuthibitisha ukweli wa kitabia hadi ukaaminika, unasema unaweza usiwe mtu wa pombe sana but ukawa wa skirt.
Unawaza usiamini kwasababu hakuna ushahidi ila ukweli sio wote ni watu hivyo mnavyodhani wandugu.
Kakwama kwenye korongo hapa...huwez amini jiran bado najitahid kumvuta.Hahaaaa na hatimae umemvutaaa