Je, ni kweli akina Halima Mdee wanaasisi chama kipya cha Siasa mbadala wa CHADEMA?

Ni haki yao, hofu yangu tu ni kuwa wameshapoteza mvuto wa kisiasa kwa sasa.
 
Nimepata taarifa/fununu kuwa kuna baadhi ya wabunge wa chama cha upinzani wameamua kuunda chama kipya cha siasa kitakachokuwa mbadala wa chama kikuu cha sasa Chadema.

Taarifa zinadai wabunge hao wanawake wanaungwa mkono na baadhi ya wabunge wanaume kutoka chama tawala na pia viongozi waandamizi wa CUF na NCCR Mageuzi wametajwa kuwemo kwenye chama hicho kipya kinachobeba sura ya kitaifa.

Habari kamili zitawajia.
Mgaya naona akina Mzee mdee wanataka kuunda CCM C , . Muda ni wakati!
 
Nimepata taarifa/fununu kuwa kuna baadhi ya wabunge wa chama cha upinzani wameamua kuunda chama kipya cha siasa kitakachokuwa mbadala wa chama kikuu cha sasa Chadema.

Taarifa zinadai wabunge hao wanawake wanaungwa mkono na baadhi ya wabunge wanaume kutoka chama tawala na pia viongozi waandamizi wa CUF na NCCR Mageuzi wametajwa kuwemo kwenye chama hicho kipya kinachobeba sura ya kitaifa.

Habari kamili zitawajia.
Taarifa ya kipuuzi.

Ungesema kuwa kuna watu wanaasisi chama kipya cha kisiasa. Hiyo ya kusema mbadala wa chama fulani ni ujinga. Hakuna chama kimachoasisiwa ili kuwa mbadala wa chama kingine, kama vile hakuna binadamu anayezaliwa mbadala wa mtu mwingine.
 
Taarifa ya kipuuzi.

Ungesema kuwa kuna watu wanaasisi chama kipya cha kisiasa. Hiyo ya kusema mbadala wa chama fulani ni ujinga. Hakuna chama kimachoasisiwa ili kuwa mbadala wa chama kingine, kama vile hakuna binadamu anayezaliwa mbadala wa mtu mwingine.
Kwahiyo CCM kimeumbwa kuwa chama tawala milele.

Una akili sana wewe kijana!
 
Muulize Zitto changamoto ya kuunda chama na kukimbizana nacho....

Yaani kama ilikua sio marehemu Maalim Seif kuja na watu wake kumsaidia,Zitto ilikua iwe kwaheri ya kuonana

Maalimu kafa,graph inaenda kuleeeeee....na Zanzibar wanakuja na chama chao binafsi,patamu hapo

Hawa wanawake wategemee shughuli pevu sana
Tatizo la Zitto Kabwe aliendekeza ukigoma!
 
Nimepata taarifa/fununu kuwa kuna baadhi ya wabunge wa chama cha upinzani wameamua kuunda chama kipya cha siasa kitakachokuwa mbadala wa chama kikuu cha sasa Chadema.

Taarifa zinadai wabunge hao wanawake wanaungwa mkono na baadhi ya wabunge wanaume kutoka chama tawala na pia viongozi waandamizi wa CUF na NCCR Mageuzi wametajwa kuwemo kwenye chama hicho kipya kinachobeba sura ya kitaifa.

Habari kamili zitawajia.
Ni haki yao kikatiba, kikubwa watimize matakwa ya kisheria
 
Nimepata taarifa/fununu kuwa kuna baadhi ya wabunge wa chama cha upinzani wameamua kuunda chama kipya cha siasa kitakachokuwa mbadala wa chama kikuu cha sasa Chadema.

Taarifa zinadai wabunge hao wanawake wanaungwa mkono na baadhi ya wabunge wanaume kutoka chama tawala na pia viongozi waandamizi wa CUF na NCCR Mageuzi wametajwa kuwemo kwenye chama hicho kipya kinachobeba sura ya kitaifa.

Habari kamili zitawajia.

Wakati Zito anaanzisha ACT kwa mgongo wa ccm alikuwa na matarajio makubwa, ila hadi muda huu anategemea back up ya wapemba kutokana na mgogoro wa CUF. Huku bara ameshindwa kutoboa. Hicho chama cha system kimepigiwa debe muda huku mitandaoni, lakini hakuna uhakika wa kutoboa. Hiki sio kizazi cha kuchaguliwa mke, bali watu wanachagua wenyewe.
 
Hivi unadhani kuanzisha chama Ni rahisi kihivyo? Watu wanadhan ukianzisha chama tu Kama umejitoa chadema Basi unapata wanachama tuu. Jaribuni muone na hivi watz walivyokata tamaa na siasa za bongo ndo kabisaa
 
Hakuna chama mbadala kwa Chadema Bwashee. Wasaliti watabaki kuwa ni WASALITI tu kwa Watanzania wengi wanaojitambua.

Nimepata taarifa/fununu kuwa kuna baadhi ya wabunge wa chama cha upinzani wameamua kuunda chama kipya cha siasa kitakachokuwa mbadala wa chama kikuu cha sasa Chadema.

Taarifa zinadai wabunge hao wanawake wanaungwa mkono na baadhi ya wabunge wanaume kutoka chama tawala na pia viongozi waandamizi wa CUF na NCCR Mageuzi wametajwa kuwemo kwenye chama hicho kipya kinachobeba sura ya kitaifa.

Habari kamili zitawajia.
 
Kabisa Mkuu hata kule Zenj baadhi wameshaanza kumstukia ayatollah Zitto kwamba kipaumbele chake ni madaraka tu. Kama mtakumbuka Act wasaliti walitishia kujitoa kwenye Serikali ya umoja haramu kama uchaguzi wa jimbo la Konde hautarudiwa cha ajabu hawajawahi kutishia kujitoa kwa wale waliopigwa na kuumizwa, kutiwa vilema au kuuawa kutolipwa fidia zao.

Wakati Zito anaanzisha ACT kwa mgongo wa ccm alikuwa na matarajio makubwa, ila hadi muda huu anategemea back up ya wapemba kutokana na mgogoro wa CUF. Huku bara ameshindwa kutoboa. Hicho chama cha system kimepigiwa debe muda huku mitandaoni, lakini hakuna uhakika wa kutoboa. Hiki sio kizazi cha kuchaguliwa mke, bali watu wanachagua wenyewe.
 
Back
Top Bottom