Je, ni kweli akina Halima Mdee wanaasisi chama kipya cha Siasa mbadala wa CHADEMA?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,881
141,813
Nimepata taarifa/fununu kuwa kuna baadhi ya wabunge wa chama cha upinzani wameamua kuunda chama kipya cha siasa kitakachokuwa mbadala wa chama kikuu cha sasa Chadema.

Taarifa zinadai wabunge hao wanawake wanaungwa mkono na baadhi ya wabunge wanaume kutoka chama tawala na pia viongozi waandamizi wa CUF na NCCR Mageuzi wametajwa kuwemo kwenye chama hicho kipya kinachobeba sura ya kitaifa.

Habari kamili zitawajia.
 
Nimepata taarifa/fununu kuwa kuna baadhi ya wabunge wa chama cha upinzani wameamua kuunda chama kipya cha siasa kitakachokuwa mbadala wa chama kikuu cha sasa Chadema.

Taarifa zinadai wabunge hao wanawake wanaungwa mkono na baadhi ya wabunge wanaume kutoka chama tawala na pia viongozi waandamizi wa CUF na Nccr mageuzi wametajwa kuwemo kwenye chama hicho kipya kinachobeba sura ya kitaifa.

Habari kamili zitawajia.
Tetesi
 
Nimepata taarifa/fununu kuwa kuna baadhi ya wabunge wa chama cha upinzani wameamua kuunda chama kipya cha siasa kitakachokuwa mbadala wa chama kikuu cha sasa Chadema.

Taarifa zinadai wabunge hao wanawake wanaungwa mkono na baadhi ya wabunge wanaume kutoka chama tawala na pia viongozi waandamizi wa CUF na Nccr mageuzi wametajwa kuwemo kwenye chama hicho kipya kinachobeba sura ya kitaifa.

Habari kamili zitawajia.
Kwani ni kosa wanafanya?
 
Nimepata taarifa/fununu kuwa kuna baadhi ya wabunge wa chama cha upinzani wameamua kuunda chama kipya cha siasa kitakachokuwa mbadala wa chama kikuu cha sasa Chadema.

Taarifa zinadai wabunge hao wanawake wanaungwa mkono na baadhi ya wabunge wanaume kutoka chama tawala na pia viongozi waandamizi wa CUF na Nccr mageuzi wametajwa kuwemo kwenye chama hicho kipya kinachobeba sura ya kitaifa.

Habari kamili zitawajia.
ccm C
 
Nimepata taarifa/fununu kuwa kuna baadhi ya wabunge wa chama cha upinzani wameamua kuunda chama kipya cha siasa kitakachokuwa mbadala wa chama kikuu cha sasa Chadema.

Taarifa zinadai wabunge hao wanawake wanaungwa mkono na baadhi ya wabunge wanaume kutoka chama tawala na pia viongozi waandamizi wa CUF na Nccr mageuzi wametajwa kuwemo kwenye chama hicho kipya kinachobeba sura ya kitaifa.

Habari kamili zitawajia.
wajiunge tu na CCM
 
Nimepata taarifa/fununu kuwa kuna baadhi ya wabunge wa chama cha upinzani wameamua kuunda chama kipya cha siasa kitakachokuwa mbadala wa chama kikuu cha sasa Chadema.

Taarifa zinadai wabunge hao wanawake wanaungwa mkono na baadhi ya wabunge wanaume kutoka chama tawala na pia viongozi waandamizi wa CUF na Nccr mageuzi wametajwa kuwemo kwenye chama hicho kipya kinachobeba sura ya kitaifa.

Habari kamili zitawajia.
Chama cha Polepole na Bashiru hicho
 
Nimepata taarifa/fununu kuwa kuna baadhi ya wabunge wa chama cha upinzani wameamua kuunda chama kipya cha siasa kitakachokuwa mbadala wa chama kikuu cha sasa Chadema.

Taarifa zinadai wabunge hao wanawake wanaungwa mkono na baadhi ya wabunge wanaume kutoka chama tawala na pia viongozi waandamizi wa CUF na Nccr mageuzi wametajwa kuwemo kwenye chama hicho kipya kinachobeba sura ya kitaifa.

Habari kamili zitawajia.
Kabda wanachama watakuwa kina Ndugai. Huwezi safiria nyota ya Chadema poga ua?? Chadema ni mpango wa Mungu..
 
Nimepata taarifa/fununu kuwa kuna baadhi ya wabunge wa chama cha upinzani wameamua kuunda chama kipya cha siasa kitakachokuwa mbadala wa chama kikuu cha sasa Chadema.

Taarifa zinadai wabunge hao wanawake wanaungwa mkono na baadhi ya wabunge wanaume kutoka chama tawala na pia viongozi waandamizi wa CUF na Nccr mageuzi wametajwa kuwemo kwenye chama hicho kipya kinachobeba sura ya kitaifa.

Habari kamili zitawajia.
Ukishasikia chama mbadala ya CHADEMA, ongea tu kihindi, sema ‘KWISHNEY’! Labda waanzishe chama mbadala wa ccm!
 
Another ppt-maendeleo in the making

Kwakuwa wameungana kwa misingi ya ulaji

Kuna siku watafarakana kugombea ulaji

Nobody will give a damn about mzee mdee and (his) clique
 
Nimepata taarifa/fununu kuwa kuna baadhi ya wabunge wa chama cha upinzani wameamua kuunda chama kipya cha siasa kitakachokuwa mbadala wa chama kikuu cha sasa Chadema.

Taarifa zinadai wabunge hao wanawake wanaungwa mkono na baadhi ya wabunge wanaume kutoka chama tawala na pia viongozi waandamizi wa CUF na NCCR Mageuzi wametajwa kuwemo kwenye chama hicho kipya kinachobeba sura ya kitaifa.

Habari kamili zitawajia.
Au ndio hichi kilichowasilisha Maombi ya Kusajiliwa kwa Msajili wa Vyama vya Siasa kinachojihita "UMOJA PARTY" ?
JamiiForums643487260.jpg
 
Back
Top Bottom