Je ni kozi zisizokuwa hazikosi ajira?

Ali Hemed

Member
Jul 9, 2021
21
13
Nimemaliza pcb 2022 nimepata division 1.8 phys C chem B na Bio C natafuta course ambayo nikimaliza tu chuo nipate ajira swali langu je ni kweli kuwa kozi za afya ni kozi ambazo watu wake hawakosi ajira kamwe pindi tu anapotoka chuoni (fresh graduate)
 
Nimemaliza pcb 2022 nimepata division 1.8 phys C chem B na Bio C natafuta course ambayo nikimaliza tu chuo nipate ajira swali langu je ni kweli kuwa kozi za afya ni kozi ambazo watu wake hawakosi ajira kamwe pindi tu anapotoka chuoni (fresh graduate)
Hali ya mtaani unaionaje kwasasa!? Za kuambiwa changanya na zako Yakhee!
 
Hata afya wanakosa mpaka ma MD wapo waliokosa mpaka private wamebaki kuwa kama wajinga tu

Ila uzuri wa elimu na afya ajira zinakuwa zinatoka toka hivyo kidogo inatia hamasa hata kama hupati ila unajua one day yes

Ila nakushauri soma nursing hapa ajira nje nje mpaka nje ya nchi unapiga kazi tu,manurse hawajawahi kutosha kwenye dunia hii
 
Hata afya wanakosa mpaka ma MD wapo waliokosa mpaka private wamebaki kuwa kama wajinga tu

Ila uzuri wa elimu na afya ajira zinakuwa zinatoka toka hivyo kidogo inatia hamasa hata kama hupati ila unajua one day yes

Ila nakushauri soma nursing hapa ajira nje nje mpaka nje ya nchi unapiga kazi tu,manurse hawajawahi kutosha kwenye dunia hii
Ahsante Sana kwa ushauri mkuu
 
Nimemaliza pcb 2022 nimepata division 1.8 phys C chem B na Bio C natafuta course ambayo nikimaliza tu chuo nipate ajira swali langu je ni kweli kuwa kozi za afya ni kozi ambazo watu wake hawakosi ajira kamwe pindi tu anapotoka chuoni (fresh graduate)
Nenda kasome kwanza halafu punguza matarajio ya ukimaliza tu chuo, unaajiiwa paaap

weee mtaani sio rahisi hivyo
 
Nimemaliza pcb 2022 nimepata division 1.8 phys C chem B na Bio C natafuta course ambayo nikimaliza tu chuo nipate ajira swali langu je ni kweli kuwa kozi za afya ni kozi ambazo watu wake hawakosi ajira kamwe pindi tu anapotoka chuoni (fresh graduate)
Huwazi kujiajiri
 
Dogo maisha sio straight sana kama unavyofikiria.

Anza ku focus kwenye kozi unazozitaka kwanza na ukiijua focus kwenye kumaliza chuo maana kupata one form six na kumaliza chuo ni kitu kingine

Acha kutawaliwa na mawazo ya kuajiriwa wakati hata chuo hujaanza
 
Back
Top Bottom