GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,443
- 120,800
Kwa muda sasa tokea Mwanangu atimize miaka miwili ( 2 ) amekuwa na tabia za kupenda kulia lia sana na nikawa napatwa mno na hasira hadi kufikiria niwe ' namlambisha ' tu vibao kama vile vinavyopatikana reception Police lakini nikagundua naweza ' kukaua ' bure halafu nikagawana ' Majengo ' na Serikali ambapo Mimi nitaenda ' Segerea ' na yeye kwenda kujipumzisha zake ' Makaburini '.
Baada ya kufikiria kwa muda kidogo nikabuni njia mbadala ya ' kumkomesha ' kwani kiukweli huwa anaudhi mno na ni kama vile huwa ananifanyia ' makusudi ' ambapo muda ule tu ambao ndiyo nataka ' Kumbandua ' Mama yake ili pengine nimtafutie mdogo wake Yeye ndiyo huanza kulia tena kwa sauti kali na ya juu hadi ' nahairisha ' kabisa ' Kumkuna ' Mamaake na huwa akizidi sana kupiga ' Mikelele ' yake hadi ' Mkuyenge ' wangu nao ' hunywea ' na kuwa wa ' baridi ' kabisa.
Namshukuru Mwenyezi Mungu kuwa siku hizi kila nikiona anaanza ' kiherehere ' chake cha Kulia huwa ' namlambisha ' Pilipili Kichaa ( ile Kali kabisa ) na huacha kulia mara moja na kulala haraka sana na hata akiamka huwa halii na sasa ' tunaheshimiana ' kabisa na amekubali kunipa ' ushirikiano ' wake wa adabu iliyotukuka.
Je Wadau kwa ' Ubunifu ' wangu huo uliotukuka nimepatia au nijiandae tu kuhukumiwa na Mwenyezi Mungu siku ya Kiama?
Nawasilisha.
Baada ya kufikiria kwa muda kidogo nikabuni njia mbadala ya ' kumkomesha ' kwani kiukweli huwa anaudhi mno na ni kama vile huwa ananifanyia ' makusudi ' ambapo muda ule tu ambao ndiyo nataka ' Kumbandua ' Mama yake ili pengine nimtafutie mdogo wake Yeye ndiyo huanza kulia tena kwa sauti kali na ya juu hadi ' nahairisha ' kabisa ' Kumkuna ' Mamaake na huwa akizidi sana kupiga ' Mikelele ' yake hadi ' Mkuyenge ' wangu nao ' hunywea ' na kuwa wa ' baridi ' kabisa.
Namshukuru Mwenyezi Mungu kuwa siku hizi kila nikiona anaanza ' kiherehere ' chake cha Kulia huwa ' namlambisha ' Pilipili Kichaa ( ile Kali kabisa ) na huacha kulia mara moja na kulala haraka sana na hata akiamka huwa halii na sasa ' tunaheshimiana ' kabisa na amekubali kunipa ' ushirikiano ' wake wa adabu iliyotukuka.
Je Wadau kwa ' Ubunifu ' wangu huo uliotukuka nimepatia au nijiandae tu kuhukumiwa na Mwenyezi Mungu siku ya Kiama?
Nawasilisha.