Je ni kosa kisheria kulala na kahaba?

Ni kosa... ndio maana ukijaribu kupitia huko nyuma utakuta wamekamatwa wengi tu kwa makosa kqma hayo na yanayofanania na hayo
 
Serikali ina dhamana ya kulinda afya na maisha ya watu

Mbona ukijaribu kujiua unashtakiwa au ukijidhuru na hamuulizi kuulikoni na maisha na mwili ni wake

Kulala na kahaba ni kuhatarisha afya na maisha yako na ni kosa kisheria

Kama ni kudhurura itakua ni mtego tu wa hao malaya kumla hela basi
 
Back
Top Bottom