Masunula Member Nov 13, 2018 98 95 Oct 7, 2021 #1 Je, ni hatua zipi za kufuata ili kupata cheti kinachotolewa na nacte kama nimepoteza?
Kasomi JF-Expert Member Sep 3, 2014 11,036 20,337 Oct 7, 2021 #2 Wasiliana na NACTE wenyewe wakupe hatua za kufuata.
Masunula Member Nov 13, 2018 98 95 Oct 7, 2021 Thread starter #3 Kasomi said: Wasiliana na NACTE wenyewe wakupe hatua za kufuata. Click to expand... Simu yao haipatikani na email hawajibu
Kasomi said: Wasiliana na NACTE wenyewe wakupe hatua za kufuata. Click to expand... Simu yao haipatikani na email hawajibu
Mbagala stendi JF-Expert Member Nov 8, 2020 289 266 Oct 7, 2021 #4 Ikiwezekana nenda jijin ukakutane na ndalichako mwenyewe hakupe muongozo...
Mikolo Mileki Mingi Member Jul 18, 2019 84 47 Oct 7, 2021 #5 Anza na kupata loss report police, tangaza gasetin, then andika barua necta ukiambatisha loss report na tangazo la gazetimi
Anza na kupata loss report police, tangaza gasetin, then andika barua necta ukiambatisha loss report na tangazo la gazetimi
mwanadome JF-Expert Member Jul 29, 2015 4,912 5,255 Oct 7, 2021 #6 Masunula said: Simu yao haipatikani na email hawajibu Click to expand... Taasisii za serikali kwenye hili eneo ni wa hovyo sanaaa
Masunula said: Simu yao haipatikani na email hawajibu Click to expand... Taasisii za serikali kwenye hili eneo ni wa hovyo sanaaa