Je, ni halali kumuachia mtu kadi ya ATM ili kukopa?

goodfool

JF-Expert Member
Oct 11, 2016
1,664
993
Wakuu,

Leo nimekuwa napita mitandaoni na kuona matamko ya viongozi mbalimbali kuhusu kuonya Watumishi juu ya mikopo ya mitaani na Kampuni zinazodai kadi za benki. Je, ni halali hata kwa makubaliano kudhamini kadi ya benki?

Je, sheria zimasemaje?

Je, kesi ya kushindwa kulipa kwa wakati na dhamana ni mshahara inasikilizwaje?

Je, wakopeshaji wa hizo microcredit hawatakiwi kufuata 1/3?

Huku Songea watu wanamiliki kadi kama za watishi wote, je nini kifnyike?

Changieni Jaman, nataka niwape wenzangu elimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu,

Leo nimekuwa napita mitandaoni na kuona matamko ya viongozi mbalimbali kuhusu kuonya Watumishi juu ya mikopo ya mitaani na Kampuni zinazodai kadi za benki. Je, ni halali hata kwa makubaliano kudhamini kadi ya benki?

Je, sheria zimasemaje?

Je, kesi ya kushindwa kulipa kwa wakati na dhamana ni mshahara inasikilizwaje?

Je, wakopeshaji wa hizo microcredit hawatakiwi kufuata 1/3?

Huku Songea watu wanamiliki kadi kama za watishi wote, je nini kifnyike?

Changieni Jaman, nataka niwape wenzangu elimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii biashara hatari sana maana inafilisi watumishi wengi wa umma yaani watu wanakopa kwa riba kubwa kuliko hata ya benki.
Ninachujua mimi kadi ya benki ya mtu mmoja haitakiwi kumilikiwa na mtu mwingine hata kama wana mahusiano ya karibu kama mke na mume, basi tu watu hufanya hivyo kwa mazoea japo ni kinyume cha taratibu za kibenki.

Hivyo hata hizo microfinance zinazochukua kadi za benki za wateja wao hufanya hivyo kimakosa, labda kwa sababu wanajua hakuna mtu wa kuwahoji. Kuna haja ya Serikali kuingilia kati hili suala ili kuwanusuru wafanyakazi na baadhi ya wananchi, maana kuna wengine wanatoa hadi namba ya siri ili aliyekopesha awe anachukua pesa mwenyewe muda wa kulipa ukifika. Ama kweli "akopaye huwa ni mtumwa wa akopeshaye."


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ah! Hiyo kwani inamnyima nini mmliki halali kukontroo pesa yake wakati hilo rapurapu liitwalo kadi likiwa mikononi mwa mkopeshaji?

Hizo ni mbinu za kizamani sana walizotumia wanaojiita wakopeshaji kudhalilishia wafanyakazi wenye maslahi duni.

Ukiwa umejiunga cm banking, unakuwa na uwezo wote wa kucheza na account yako bila kadi.

Wakati pesa inapoingizwa huingia na ujumbe mfupi kwenye simu kukujulisha salio lililoingia.

Kwa hiyo unaweza kuhamisha mshahara mzima on line na jamaa kubaki kashikilia ganda lisilo thamani yoyote.

Atakapokuja kusikia "zimeingia" hata angelikuwa na kasi ya kipanga, hawezi kukuwahi, atakuta tayari umeshahamisha salio lote bila usumbufu ukiwa kitandani kwako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwakweli utumwa huu mpaka Lin?
Hii biashara hatari sana maana inafilisi watumishi wengi wa umma yaani watu wanakopa kwa riba kubwa kuliko hata ya benki.
Ninachujua mimi kadi ya benki ya mtu mmoja haitakiwi kumilikiwa na mtu mwingine hata kama wana mahusiano ya karibu kama mke na mume, basi tu watu hufanya hivyo kwa mazoea japo ni kinyume cha taratibu za kibenki.

Hivyo hata hizo microfinance zinazochukua kadi za benki za wateja wao hufanya hivyo kimakosa, labda kwa sababu wanajua hakuna mtu wa kuwahoji. Kuna haja ya Serikali kuingilia kati hili suala ili kuwanusuru wafanyakazi na baadhi ya wananchi, maana kuna wengine wanatoa hadi namba ya siri ili aliyekopesha awe anachukua pesa mwenyewe muda wa kulipa ukifika. Ama kweli "akopaye huwa ni mtumwa wa akopeshaye."


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuzungumze uhalali ndugu
Ah! Hiyo kwani inamnyima nini mmliki halali kukontroo pesa yake wakati hilo rapurapu liitwalo kadi likiwa mikononi mwa mkopeshaji?

Hizo ni mbinu za kizamani sana walizotumia wanaojiita wakopeshaji kudhalilishia wafanyakazi wenye maslahi duni.

Ukiwa umejiunga cm banking, unakuwa na uwezo wote wa kucheza na account yako bila kadi.

Wakati pesa inapoingizwa huingia na ujumbe mfupi kwenye simu kukujulisha salio lililoingia.

Kwa hiyo unaweza kuhamisha mshahara mzima on line na jamaa kubaki kashikilia ganda lisilo thamani yoyote.

Atakapokuja kusikia "zimeingia" hata angelikuwa na kasi ya kipanga, hawezi kukuwahi, atakuta tayari umeshahamisha salio lote bila usumbufu ukiwa kitandani kwako.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu,

Leo nimekuwa napita mitandaoni na kuona matamko ya viongozi mbalimbali kuhusu kuonya Watumishi juu ya mikopo ya mitaani na Kampuni zinazodai kadi za benki. Je, ni halali hata kwa makubaliano kudhamini kadi ya benki?

Je, sheria zimasemaje?

Je, kesi ya kushindwa kulipa kwa wakati na dhamana ni mshahara inasikilizwaje?

Je, wakopeshaji wa hizo microcredit hawatakiwi kufuata 1/3?

Huku Songea watu wanamiliki kadi kama za watishi wote, je nini kifnyike?

Changieni Jaman, nataka niwape wenzangu elimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Siku hizi wadaiwa wanachofanya ni kukabidhi kadi walipokopa..then wanaenda benki wanasema kadi imepotea..wanafanyiwa taratibu wanapewa kadi mpya
 
Mtu akitaka kukopa, muelekeze Bank au taasisi za mikopo, huu ujinga wa kuchukua Bank Card ya mtu au ATM card ni uwendawazimu sana.
Kama anaweza akaipeleke Bank wampe mkopo huo anaoutaka. Kama Bank hiwezekani kwanini mtu binafsi ufanye ujinga huo?
 
Mtu akitaka kukopa, muelekeze Bank au taasisi za mikopo, huu ujinga wa kuchukua Bank Card ya mtu au ATM card ni uwendawazimu sana.
Kama anaweza akaipeleke Bank wampe mkopo huo anaoutaka. Kama Bank hiwezekani kwanini mtu binafsi ufanye ujinga huo?
Watumishi suala hilo kwao ni kama Kaburi, hawawez kutoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kadi ni nini mkuu si ninaidectavate kwakutumia simu muda wowote ninapo taka !

Sent using Jamii Forums mobile app

Hapo unakuwa umedhamilia kumtapeli mkuu.

Dunia yote hii matatizo yako yatafanywa fulsa,kwa gharama gani hiyo ni maaamuzi ya huyo mtumiaji wa hiyo fulsa.

Kwahiyo tuache dhana kwamba labda wanatuonea,ama wanayuibia.hapana.
 
Mtu akitaka kukopa, muelekeze Bank au taasisi za mikopo, huu ujinga wa kuchukua Bank Card ya mtu au ATM card ni uwendawazimu sana.
Kama anaweza akaipeleke Bank wampe mkopo huo anaoutaka. Kama Bank hiwezekani kwanini mtu binafsi ufanye ujinga huo?

Kungekuwa na bank inatoa mkopo kwa mashart mepesi namna hiyo ingekimbia wateja.

Ila ninachojua kuna bank badala ya kuchukua ATM card,wanachukua hati ya nyumba,kiwanja,shamba au kiwanda.sijui ni nani anatisha zaidi hapo!!!
 
Back
Top Bottom