Je, Ni changamoto ya afya ya akili?

Je, Ni changamoto ya afya ya akili?

6By6 Miguno

Member
Joined
Apr 20, 2025
Posts
75
Reaction score
107
Mfano mdogo ni hawa watu humu ambao kila kukicha wanaunga mkono serikali hii yenye makandokando, Serikali hii waiungayo mkono imeifungia JF, Lakini wao wanatumia VPN kuendelea kubangaiza humu....

Sasa unajiuliza huyu mtu gani ambae anashindwa kuitii hata serikali anayoiunga mkono!!? Mtandao umefungiwa na serikali yako pendwa lakini unadownload VPN unautumia, Je unamaanisha nini? Je, hata wewe mwenyewe unakubali kuwa serikali yako imekukatili???

Kama sivyo tukuelewe vipi sasa? Je upo timamu kweli wewe!!? Nilitegemea kwa muda huu tuwepo sisi pekee mnaotuita waasi.... Basi kweli Changamoto ya Afya ya akili ni janga sana nchini.
 
Screenshot_20250720-193211~2.jpg
 
Mfano mdogo ni hawa watu humu ambao kila kukicha wanaunga mkono serikali hii yenye makandokando, Serikali hii waiungayo mkono imeifungia JF, Lakini wao wanatumia VPN kuendelea kubangaiza humu.... Sasa unajiuliza huyu mtu gani ambae anashindwa kuitii hata serikali anayoiunga mkono!!? Mtandao umefungiwa na serikali yako pendwa lakini unadownload VPN unautumia, Je unamaanisha nini? Je, hata wewe mwenyewe unakubali kuwa serikali yako imekukatili??? Kama sivyo tukuelewe vipi sasa? Je upo timamu kweli wewe!!? Nilitegemea kwa muda huu tuwepo sisi pekee mnaotuita waasi.... Basi kweli Changamoto ya Afya ya akili ni janga sana nchini.
Ni kuwa silimisha kwa nguvuuuuuuuu..sema wengi wapo kazini.

Kwako Lucas Mwashambwa
 
Back
Top Bottom