mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,432
- 2,892
WADAU wa JamiiForums naomba USHAURI wa bure kutokana na kadhia hii.
Mabwana afya wanasisitiza watu kupima afya zao hasa kupima maambukizi ya gonjwa hatari la UKIMWI na uishi ukijijua afya yako. Ikibidu uanze kumeza mawe.
Leo katika pita pita zangu nilikutana na mdau mmoja katika mazungumzo ya hapa na pale tukagusia suala la kupima kwa hiyari. Yeye binafsi anasema alishawahi kufanya hivyo na yupo salama.
Sasa nikifiria upande wangu nimekuwa mtu wa kuuza mechi kila kukicha. Aisee hivi ni busara kweli kupima na kujijua?
Ama nikaushe mpaka pale ambapo mambo yatakapokuwa wazi?
NAOMBA USHAURI WENU.
NB.
Katika maisha yangu sijawahi kupima zaidi ya uzito, malaria na U T I.
USHAURI tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mabwana afya wanasisitiza watu kupima afya zao hasa kupima maambukizi ya gonjwa hatari la UKIMWI na uishi ukijijua afya yako. Ikibidu uanze kumeza mawe.
Leo katika pita pita zangu nilikutana na mdau mmoja katika mazungumzo ya hapa na pale tukagusia suala la kupima kwa hiyari. Yeye binafsi anasema alishawahi kufanya hivyo na yupo salama.
Sasa nikifiria upande wangu nimekuwa mtu wa kuuza mechi kila kukicha. Aisee hivi ni busara kweli kupima na kujijua?
Ama nikaushe mpaka pale ambapo mambo yatakapokuwa wazi?
NAOMBA USHAURI WENU.
NB.
Katika maisha yangu sijawahi kupima zaidi ya uzito, malaria na U T I.
USHAURI tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app