Kesho naenda kupima UKIMWI. Naombeni ushauri na maoni yenu wadau

Kitoabu

JF-Expert Member
Jul 7, 2011
10,326
10,943
Kwa mara ya kwanza katika uhai wangu, kesho naenda kupima Ukimwi.

Sio kwa hiyari yangu, bali ni mifumo ya kidunia imenibana. Sijui nani alieweka ushauri wa kupima UKIMWI kwa lazima kwa mama mjamzito? Mbaya zaidi si mama mjamzito pekee, bali wanataka na mumewe pia.

Mimi na mke wangu tayari tuna watoto wawili, lakini katika mimba zote hizo sijawahi kuhudhuria kwenye zoezi la kupima Ukimwi.

Mtoto wa kwanza kazaliwa 2014 kipindi hicho nadhani hakukua na ulazima kwa mke na mume kwenda kupima (nazungumzia kwa Mocambique)

Mtoto wa pili kazaliwa 2017, hapa nilikua mbali na mke wangu (nilimuacha na ujauzito wa miezi 5) hivyo mke wangu aliongopa kuwa mumewe kafa, kwa mbinde sana wakamsaidia.

Ila trip hii wamekataa mpaka tumeamua kwenda hospital ya wilaya nyingine.

Mke wangu ana ujauzito wa miezi 4, tatizo ujauzito wake unamzingua, hivyo kila alipo kwenda hospital walimwambia aanze klinik, hivyo utaratibu ni kwenda na mumewe.

Ni mwezi sasa nimekua nikipiga chenga, lakini namuonea huruma mwenzangu mimba inamsumbua, hivyo nimeamua KUJILIPUA liwalo na liwe, kesho asubuhi sana nawahi hospital, kupima UKIMWI.

Pressure ipo juu, naomba nisikutwe na moto, nikikutwa nao itakua balaaa. Nitamuambiaje mama mwenyewe?(mkewangu)

NB: Siogopi Ukimwi (siamini kama Ukimwi unaambukiza) ninachohofia, mke wangu nitamuacha na majonzi sana.

Uamuzi wangu ni hivi, kama nitakutwa na ukimwi alafu mwenzangu hana (sintaogopa) nitamuuliza anaamua vipi?
Tunaachana ama tunasonga mbele?

Ikiwaka wote hatutakutwa na ukimwi nitafurahi kinoma (sintoifananisha hiyo furaha)

Balaa ikiwa wote tutakutwa na Moto/ Shati la maua maua (Ukimwi) hapo sasa itakua balaaa, maana mwenzangu atapagawa sana, kitendo kitachoniachia majonzi moyoni.

Nimejipanga, hata niambiwe nina moto sintakula ARV ng'o! Yani siri ARV hata kwa Risasi ya moto kichwani.

Mwisho, USHAURI NA MAONI yenye busara vinahitajika.
 
Unafikiri kipimo cha ukimwi ndo kinatisha kuliko vyote?

Waulize waliojenga nyumba wakaja kuambiwa eneo la serikali walipoenda wizara ya ardhi wakati wanasubiri majibu ya uhakiki wa uhalali WA kiwanja..

Au alielea mimba na watoto hadi wakubwa
Anakuja kuambiwa watoto sio wako
Wanapoenda pima DNA ..wakati wanasubiri majibu...

Au mtu mkewe mjamzito kapata ajali
Amekaa anasubiri dokta atoke nje chumba cha opereshen..ajue kama mkewe na mtoto wako hai?

Au yatima ambae wazazi washakufa
Analelewa na walezi Tu na hao walezi wamepata ajali..

Mitihani yako unaweza iona mikubwa kuliko yote kumbe wenzio Wana mitihani mikubwa zaidi lakini wako kimyaa
 
Ukimwi ni kama jini yaani usipolitambua halina madhara ila ukishalijua Basi lazma litake kukumaliza ndio maana unaona watu kabla ya kujijua alikuwa poa tu baada ya kujijua anaanza kukonda mawazo mengi hachukui raundi anavuta
 
Kesho naenda kupima kisukari naogopa sana.....
Unaanzaje kuogopa ukimwi wenye dawa?
Me siogopi ukimwi, tatizo mwenzangu atalichukulia vipi hilo swala?
Unajua kuna watu wanaamini mpaka sasa kua ukimwi ni ugonjwa
Ukimwi unaambukiza
Ukimwi ukiupata kifo
Hata mkewangu yuko kwenye kundi hilo la watu.
 
Kwa mara ya kwanza katika uhai wangu, kesho naenda kupima ukimwi.

Sio kwa hiyari yangu, bali ni mifumo ya kidunia imenibana.
Sijui nani alie weka ushauri wa kupima UKIMWI kwa lazima kwa mama mjamzito?
Mbaya zaidi si mama mjamzito pekee, bali wanataka na mumewe pia.

Mimi na mke wangu tayari tuna watoto wawili, lakini katika mimba zote hizo sijawahi kuhudhuria kwenye zoezi la kupima ukimwi.

Mtoto wa kwanza kazaliwa 2014 kipindi hicho nadhani hakukua na ulazima kwa mke na mume kwenda kupima (nazungumzia kwa Mocambique)

Mtoto wa pili kazaliwa 2017, hapa nilikua mbali na mkewangu (nilimuacha na ujauzito wa miezi 5) hivyo mkewangu aliongopa kua mumewe kafa, kwa mbinde sana wakamsaidia.

Ila trip hii wamekataa mpaka tumeamua kwenda hospital ya wilaya nyingine.

Mkewangu ana ujauzito wa miezi 4 tatizo ujauzito wake unamzingua, hivyo kila alipo kwenda hospital walimwambia aanze klinik, hivyo utaratibu ni kwenda na mumewe.

Ni mwezi sasa nimekua nikipiga chenga, lakini namuonea huruma mwenzangu mimba inamsumbua, hivyo nimeamua KUJILIPUA liwalo na liwe, kesho asubuhi sana nawahi hospital, kupima UKIMWI.

Pressure ipo juu, naomba nisikutwe na moto, nikikutwa nao itakua balaaa.
Nitamuambiaje mama mwenyewe ?
(mkewangu)

NB: Siogopi ukimwi (siamini kama ukimwi unaambukiza) ninacho hofia, mkewangu nitamuacha na majonzi sana.

Uamuzi wangu ni hivi, kama nitakutwa na ukimwi alafu mwenzangu hana (sintaogopa) nitamuuliza anaamua vipi?
Tunaachana ama tunasonga mbele?

Ikiwaka wote hatutakutwa na ukimwi nitafurahi kinoma (sinto ifananisha hiyo furaha)

Balaaa ikiwa wote tutakutwa na Moto/ Shati la maua maua (ukimwi) hapo sasa itakua balaaa, maana mwenzangu atapagawa sana, Kitendo kitacho niachia majonzi moyoni.

Nimejipanga, hata niambiwe nina moto sintakula ARV ng'o!
Yani siri ARV hata kwa Risasi ya moto kichwani.

Mwisho, ,,,,,,, USHAURI NA MAONI yenye busara vina hitajika.
Bahati mbaya unaomba ushauri huku ukiwa na maamuzi tayari

Odhis *
 
Kwa mara ya kwanza katika uhai wangu, kesho naenda kupima ukimwi.

Sio kwa hiyari yangu, bali ni mifumo ya kidunia imenibana.
Sijui nani alie weka ushauri wa kupima UKIMWI kwa lazima kwa mama mjamzito?
Mbaya zaidi si mama mjamzito pekee, bali wanataka na mumewe pia.

Mimi na mke wangu tayari tuna watoto wawili, lakini katika mimba zote hizo sijawahi kuhudhuria kwenye zoezi la kupima ukimwi.

Mtoto wa kwanza kazaliwa 2014 kipindi hicho nadhani hakukua na ulazima kwa mke na mume kwenda kupima (nazungumzia kwa Mocambique)

Mtoto wa pili kazaliwa 2017, hapa nilikua mbali na mkewangu (nilimuacha na ujauzito wa miezi 5) hivyo mkewangu aliongopa kua mumewe kafa, kwa mbinde sana wakamsaidia.

Ila trip hii wamekataa mpaka tumeamua kwenda hospital ya wilaya nyingine.

Mkewangu ana ujauzito wa miezi 4 tatizo ujauzito wake unamzingua, hivyo kila alipo kwenda hospital walimwambia aanze klinik, hivyo utaratibu ni kwenda na mumewe.

Ni mwezi sasa nimekua nikipiga chenga, lakini namuonea huruma mwenzangu mimba inamsumbua, hivyo nimeamua KUJILIPUA liwalo na liwe, kesho asubuhi sana nawahi hospital, kupima UKIMWI.

Pressure ipo juu, naomba nisikutwe na moto, nikikutwa nao itakua balaaa.
Nitamuambiaje mama mwenyewe ?
(mkewangu)

NB: Siogopi ukimwi (siamini kama ukimwi unaambukiza) ninacho hofia, mkewangu nitamuacha na majonzi sana.

Uamuzi wangu ni hivi, kama nitakutwa na ukimwi alafu mwenzangu hana (sintaogopa) nitamuuliza anaamua vipi?
Tunaachana ama tunasonga mbele?

Ikiwaka wote hatutakutwa na ukimwi nitafurahi kinoma (sinto ifananisha hiyo furaha)

Balaaa ikiwa wote tutakutwa na Moto/ Shati la maua maua (ukimwi) hapo sasa itakua balaaa, maana mwenzangu atapagawa sana, Kitendo kitacho niachia majonzi moyoni.

Nimejipanga, hata niambiwe nina moto sintakula ARV ng'o!
Yani siri ARV hata kwa Risasi ya moto kichwani.

Mwisho, ,,,,,,, USHAURI NA MAONI yenye busara vina hitajika.
Ukishapima Mara moja utakuwa umehama hatua ya kutokujijali.Mi ninapima Mara 4 kwa mwaka.kuna mchepuko kamiahidi tunda 2021 kavukavu, tumepanga kwenda kupima ili ni dadavue alichoniahidi.
 
Wala usiogope sana mkuu! Nenda ukacheki kama ukikutwa huna iwe fundisho na ubadili nyendo zako mbaya maana hii hofu yote nadhani unajifahamu sehemu ulizopitia! IlavMungu ni mwema kwa watu wake.
 
Back
Top Bottom