johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,976
Inaeleweka wazi kwamba Tume ya uchaguzi imepewa fedha za kutosheleza uchaguzi kwa majimbo yote na kata zote Tanzania bara na visiwani.
Ni vema walipa kodi wakajulishwa kiasi cha fedha kilichookolewa baada ya baadhi ya wagombea kukosa sifa na hivyo majimbo yao kutoingia katika Uchaguzi.
Nawatakia Sabato yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Ni vema walipa kodi wakajulishwa kiasi cha fedha kilichookolewa baada ya baadhi ya wagombea kukosa sifa na hivyo majimbo yao kutoingia katika Uchaguzi.
Nawatakia Sabato yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!