qn of sheba
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,230
- 1,382
Nauliza tuu... hivi wazee wa zamani kuanzia Adam na Eve, Noah na Mkewe, Abraham na Sara na wengineo... walifungishwa na nani??
Mungu alisema kuwa mwanamke na mwanaume wataishi pamoja hakusema waoane kanisan au msikitin, je ikiwa wamependana watu wa dini tofaut itakuwaje? cha msingi ni mapenz ya watu wawili na wazazi wa pande zote 2 wakubaliane
note:kazi ya mch/padre/sheikh si kufungisha ndoa bali ni kuthibitisha agano la watu wawili, kwa sisi wakristo tunasema," mimi..ninakubali kumuoa/olewa na..hata kifo kitakapotutenganisha." Kama sipo sawa prove me wrong
Kikristo, mwanaume akilala na mwanamke wameunganishwa kwenye ndoa (Ambayo si takatifu) since Mungu hakushirikishwa. Consummation of marriage is the real marriage kwa sababu hata mkila viapo kanisani consummation isipotokea hiyo si ndoa.
Sasa basi kwa sababu Mungu alisema tiini mamlaka. Ndoa ikifungwa serikalini ni ndoa halali (japo si takatifu since Mungu hakushirikishwa). Hata kama viongozi wa dini hawajaikubali.
Kama unamwogopa Mungu ni ndoa. Kama unawaogopa viongozi wa dini (honestly sijui huwa wanaichukuliaje), ila aliyeshiba neno anajua ni ndoa. Vigezo na masharti ya ndoa za kikristo kuzingatiwa! Yani kama ya kanisani vile.
Kikristo, mwanaume akilala na mwanamke wameunganishwa kwenye ndoa (Ambayo si takatifu) since Mungu hakushirikishwa. Consummation of marriage is the real marriage kwa sababu hata mkila viapo kanisani consummation isipotokea hiyo si ndoa.
Sasa basi kwa sababu Mungu alisema tiini mamlaka. Ndoa ikifungwa serikalini ni ndoa halali (japo si takatifu since Mungu hakushirikishwa). Hata kama viongozi wa dini hawajaikubali.
Kama unamwogopa Mungu ni ndoa. Kama unawaogopa viongozi wa dini (honestly sijui huwa wanaichukuliaje), ila aliyeshiba neno anajua ni ndoa. Vigezo na masharti ya ndoa za kikristo kuzingatiwa! Yani kama ya kanisani vile.
Kikristo, mwanaume akilala na mwanamke wameunganishwa kwenye ndoa (Ambayo si takatifu) since Mungu hakushirikishwa. Consummation of marriage is the real marriage kwa sababu hata mkila viapo kanisani consummation isipotokea hiyo si ndoa.
Sasa basi kwa sababu Mungu alisema tiini mamlaka. Ndoa ikifungwa serikalini ni ndoa halali (japo si takatifu since Mungu hakushirikishwa). Hata kama viongozi wa dini hawajaikubali.
Kama unamwogopa Mungu ni ndoa. Kama unawaogopa viongozi wa dini (honestly sijui huwa wanaichukuliaje), ila aliyeshiba neno anajua ni ndoa. Vigezo na masharti ya ndoa za kikristo kuzingatiwa! Yani kama ya kanisani vile.
Nauliza tuu... hivi wazee wa zamani kuanzia Adam na Eve, Noah na Mkewe, Abraham na Sara na wengineo... walifungishwa na nani??
For that concept ....was just thinking how many ndoaz do I av ambazo sio takatifu uwiii
Acha kutukuza wazungu kijana inamaana mababu zetu waliofunga ndoa kipindi hicho walikuwa hawabarikiwi na Mungu? Ziangalie dini hizo za kigeni machimbuko yake na kila kitu, Je Wahindu, Budha, Banian kwa mtazamo wako ndoa zao ni batili?
Hapa tunazungumzia ukristo mkuu