mbiza
JF-Expert Member
- Feb 8, 2014
- 539
- 147
Natumai mtakuwa mpo na afya tele wanammu.
Swali langu nitakalo kuuliza ni je ndoa ya serikali inatambulika kimungu hasa kwenye ukristo?
Na je kama wanandoa waliofunga ndoa ya serikali halafu ni wakristo wakiachana inaruhusiwa kuoa au kuolewa tena,
asanteni
Swali langu nitakalo kuuliza ni je ndoa ya serikali inatambulika kimungu hasa kwenye ukristo?
Na je kama wanandoa waliofunga ndoa ya serikali halafu ni wakristo wakiachana inaruhusiwa kuoa au kuolewa tena,
asanteni