ibby
JF-Expert Member
- Mar 20, 2017
- 415
- 586
Minishasemaga na kuambia mke wang siku ataona amecoka kuwa na mimi basi anisaliti apo ndoa itakua imefkia mwisho wake ,,kisha kaniuliza je wew napo vip ukifkia kunisaliti ??nikamjibu kibusara nakumwambia ma amuzi niyako apo unajua kilicomo moyoni mwako ila bora nimekwambia mie ,,,kiufup mkuu ndoa kama hio sio ndoa tena mwanamk anakusaliti na bado unakoma nae towa nduki mkuu start your life mkuu,,,