Je, ndoa hii nani mkosaji?

Je, ndoa hii nani mkosaji?

Samwel Maleka.
Pole kwa hali ya maisha unayopitia, mie niko kwenye ndoa for almost miaka 16 yrs, nafahamu changamoto nyingi sana za ndoa na zingine inakubidi uwe na busara na hekima ya Mungu kuzitatua.

Changamoto unazopitia ni matokeo ya maamuzi ambayo uliyafanya huko nyuma bila kufuata hekima kama zilivyoandikwa kwenye vitabu vitakatifu, ngoja nikupe siri ambayo naamini inaweza isikusaidie sana wewe lakini itawasaidia wale ambao wanatafuta wenzi wa maisha.Kwa asili wanaume tumetawaliwa na tamaa za ngono, na ndizo zinazotufanya tuangukie kwenye mapenzi na wanawake wazuri. ambao wanaitesa mioyo yetu maisha yetu yote,,mfano Samson na Delila

Katika kuoa inabidi uangalie mwenza ambaye anakutii tangia mwanzo wa uchumba wenu, na ukipata ambaye hajawahi kuwa na mahusiano na mtu mwingine akuwa the best kushinda yeyote.

Nasikitika sana uliachana na mchumba wako ambae umekiri ulimtoa usichana wake, if it was me! that was the best woman to be my wife..naomba nikueleze ukweli ni vigumu sana kumbadilisha tabia mkeo kwani ndani ya moyo wake haupo wewe, na tambua kwamba mwanamke anajua kupenda sana, na hayumbishwi na mazingira yanayomzunguka. hivyo basi ana mtu wake ambaye yuko moyoni mwake tangu mwanzo. Pili huenda ni mdogo sana kiumri hivyo bado hajajua ktk maisha ya ndoa ni nini wajibu wake kama mke, na chakusikitisha zaidi kama anakunyima unyumba sipati picha kwani mwishowe utajikuta unahangaika na wanawake wengine wa nje ili kutuliza tamaa zako, na lile lengo la msingi la kuwa mke na mume, kutulizana tamaa zenu linakuwa limepotea kabisa..

Mawazo yangu kwako ni ongea na mkeo in very friendly manor wanawake sio waongo pale wanapokuwa na mtu wanayemwamini, atakueleza yaliyoko moyoni mwake then kuanzia hapo ndio utajua cha kufanya.
Pili mnaweza kutengana kwa muda yeye akarudi kwa wazazi wake au wewe ukarudi kwa wazazi au katafuta mahali pa kuishi kama miezi 3, hiyo itawapa muda mzuri wa kutafakari na kuona kama kila mmoja anamhitaji mwenzake.
Unaweza ukaongea na watumishi wa Mungu ambao wanakulea kiroho wakusaidie mawazo ila tambua, ndoa ni makubaliano kati ya watu wawili, na kwa msingi wa bibilia ndoa inaweza kuvunjika japo sio mapenzi ya Mungu, endapo mtafanya zinaa nje ya ndoa, kumtendea matendo ya hiyana mkeo mfano kuomba bando la halichachi.

Ukitaka ushauri aidi njoo pm nitakuapitia mawasiliano, hapa nimeandika kifupi sana
Nakutakia kila la kheri.....
 
Si alisema hapo kuwa aliachana na huyo mchumba wake baada ya mke kuwa na mimba.
Ameeleza hapo huyo mke alianza tabia hiyo kabla ya ndoa tena kabla hata huyo mchumba wa jamaa hajarudi.

Huyu mwanamke hafai kuwa mke wa mtu huyu wala usimtetee hapo.

Heti nalipa kisasi!!!
Mke wa mtu kabisaaa huyo anaongea hivyo.

Ningekuwa Mimi tungeachana siku hiyohiyo.

Ndugu ukimchekea huyu basi usubiri kuzikwa na kilo mbili, umuache mwanao yatima.

Pili chunguza vizuri hata huyo mtoto inawezekana si wako huyo kuna kila dalili ya kubambikiziwa hapo.

Unaishi na shetani sio mke huyo na huo uvumilivu wako utakuponza siku si nyingi.
Ameyataka mwenyewe
Kabla ya hiyo mimba si alijua tabia yake??? Kilichomfanya amtie mimba na kumuoa ni kiherehere chake!!!

Uamuzi anao mwenyewe....
 
pole kk kama kweli unamjua mungu huwez vunja ndoa lakini huoni furah y ndoa hapo kaa chini na mkeo mtoe tofaut zenu na muanze new life jinsi ulivo eleza inaonesha huyo mwnamke sio chaguo langu
Nimekaaa nae zaidi ya Mara 20,nimeongea kwa nadharia hadi vitendo,mnaelewa siku moja baada ya muda majanga,kibaya saana mgumu saana kukiri kosa lake na kuomba msamaha mpaka utumie nguvu ya ziada.
 
Samwel Maleka.
Pole kwa hali ya maisha unayopitia, mie niko kwenye ndoa for almost miaka 16 yrs, nafahamu changamoto nyingi sana za ndoa na zingine inakubidi uwe na busara na hekima ya Mungu kuzitatua.

Changamoto unazopitia ni matokeo ya maamuzi ambayo uliyafanya huko nyuma bila kufuata hekima kama zilivyoandikwa kwenye vitabu vitakatifu, ngoja nikupe siri ambayo naamini inaweza isikusaidie sana wewe lakini itawasaidia wale ambao wanatafuta wenzi wa maisha.Kwa asili wanaume tumetawaliwa na tamaa za ngono, na ndizo zinazotufanya tuangukie kwenye mapenzi na wanawake wazuri. ambao wanaitesa mioyo yetu maisha yetu yote,,mfano Samson na Delila

Katika kuoa inabidi uangalie mwenza ambaye anakutii tangia mwanzo wa uchumba wenu, na ukipata ambaye hajawahi kuwa na mahusiano na mtu mwingine akuwa the best kushinda yeyote.

Nasikitika sana uliachana na mchumba wako ambae umekiri ulimtoa usichana wake, if it was me! that was the best woman to be my wife..naomba nikueleze ukweli ni vigumu sana kumbadilisha tabia mkeo kwani ndani ya moyo wake haupo wewe, na tambua kwamba mwanamke anajua kupenda sana, na hayumbishwi na mazingira yanayomzunguka. hivyo basi ana mtu wake ambaye yuko moyoni mwake tangu mwanzo. Pili huenda ni mdogo sana kiumri hivyo bado hajajua ktk maisha ya ndoa ni nini wajibu wake kama mke, na chakusikitisha zaidi kama anakunyima unyumba sipati picha kwani mwishowe utajikuta unahangaika na wanawake wengine wa nje ili kutuliza tamaa zako, na lile lengo la msingi la kuwa mke na mume, kutulizana tamaa zenu linakuwa limepotea kabisa..

Mawazo yangu kwako ni ongea na mkeo in very friendly manor wanawake sio waongo pale wanapokuwa na mtu wanayemwamini, atakueleza yaliyoko moyoni mwake then kuanzia hapo ndio utajua cha kufanya.
Pili mnaweza kutengana kwa muda yeye akarudi kwa wazazi wake au wewe ukarudi kwa wazazi au katafuta mahali pa kuishi kama miezi 3, hiyo itawapa muda mzuri wa kutafakari na kuona kama kila mmoja anamhitaji mwenzake.
Unaweza ukaongea na watumishi wa Mungu ambao wanakulea kiroho wakusaidie mawazo ila tambua, ndoa ni makubaliano kati ya watu wawili, na kwa msingi wa bibilia ndoa inaweza kuvunjika japo sio mapenzi ya Mungu, endapo mtafanya zinaa nje ya ndoa, kumtendea matendo ya hiyana mkeo mfano kuomba bando la halichachi.

Ukitaka ushauri aidi njoo pm nitakuapitia mawasiliano, hapa nimeandika kifupi sana
Nakutakia kila la kheri.....
Asante mno,lakn mengi ya unayoshauri nishayafanya nimetumia kila kitu na hata ni mali nimejitoa kwake,lakn hakuna la maana.
 
Huna sababu ya kuomba ushauri hapo piga chini tuu japo kosa ni lako kusaliti uchumba wa miaka 7 kwa kunogew ngono Mungu anakuona na hzo ni laana za mchumba wako ikibid mtafte umueleze kuwa umevunja mji ili nayeye dukuduku limwishe moyon
 
huwa sipendi kusema kumwacha mtu ... lakini kama usemalo ni kweli achana na huyo mwanamke na anagalia namna ya kumtuza mwanao basi,,,,,,,,.miaka 30 duh pole
 
Huna sababu ya kuomba ushauri hapo piga chini tuu japo kosa ni lako kusaliti uchumba wa miaka 7 kwa kunogew ngono Mungu anakuona na hzo ni laana za mchumba wako ikibid mtafte umueleze kuwa umevunja mji ili nayeye dukuduku limwishe moyon
Noted sir
 
Kweli wanaume sasa hivi TUNAESABIKA....!yaani vitendo vibaya vyote aliokuonyesha kabla haujamuoa ukishindwa kuongeza Kwa sabb ya tamaa na uruma za mimba?polee yako Kwa ujinga wako.
 
Kweli wanaume sasa hivi TUNAESABIKA....!yaani vitendo vibaya vyote aliokuonyesha kabla haujamuoa ukishindwa kuongeza Kwa sabb ya tamaa na uruma za mimba?polee yako Kwa ujinga wako.
Ishatokea tayari natokaje hapa
 
Back
Top Bottom