Je, Nassari kujiunga CCM?

Tumuombee kila la kheri mwana kila mtu na ridhiki yake
 
Mmawia, kukaa na mpinzani wako kupiga kinywaji laini sio mbaya bana. Mbona akina Mwamba walikuwa wanatinga sana Ikulu kupiga vinywaji na JK. Tena Lissu ndio alikuwa mkoroga chai mzuri sana wa wenzake.
 
Unadhani ni mjinga yeye kuwa haongei au kusocialize na wengine ambao sio cdm?
Kama mnalijua hilo inakuwaje mliwakataza wabunge wenu kwenda kumuona mbunge mwenzao aliyekuwepo gerezani pale kisongo mh Lema? Nyie ni sawa na nyoka tu
 
Omba unyimwe pesa kuliko kunyimwa akili kama wewe
Mmawia, kukaa na mpinzani wako kupiga kinywaji laini sio mbaya bana. Mbona akina Mwamba walikuwa wanatinga sana Ikulu kupiga vinywaji na JK. Tena Lissu ndio alikuwa mkoroga chai mzuri sana wa wenzake.
 
Kwani ni dhambi watanzania kukaa pamoja?
 
Picha ya Zamani hiyo...!
Ila mkisumbua itabidi tufanye rasmi sasa...ha ha ha

Yaani wala msimchukue kwa kusita, hakuna anayemtaka ndani ya cdm. Cdm ina vijana wa kutosha, ukizingua watu wanakupotezea. Ccm ndio ina shida na wanasisiasa vijana.
 
Kwani ni dhambi watanzania kukaa pamoja?
Kukaa pamoja na mtu msiyeaminiana inawezekanaje kama sio njama, usaliti na unafiki?
Au hujui kuwa kuna siasa za chuki zimekuwa zikijengwa muda mrefu ikiwemo kauli na video kwamba kuchagua wapinzani ni makosa na waliochagua upinzani hawastahili maendeleo ndio adhabu yao!!?
Maendeleo hayana vyama... hii ndio Tanzania tunayoitaka
 
Aliyekuwa mbunge wa Arumeru kupitia cdm, amenaswa na camera zetu akiwa na kikao cha kificho na Dc wa ccm.

Kuelekea uchaguzi wa October tuwe sana macho na wagombea wetu. View attachment 1500311

Eti huu nao ni Uzi halafu kwa Akil hizi na Uzushi huu usio na Tija wala Mantiki ndiyo Watu wanataka Kuitoa CCM Madarakani. Upuuzi Mtupu sana!
 
Tuwaache hao wachonganishi watapita lakini Tanzania yetu na utanzania utadumu...tupendane
 
Aliyekuwa mbunge wa Arumeru kupitia cdm, amenaswa na camera zetu akiwa na kikao cha kificho na Dc wa ccm.

Kuelekea uchaguzi wa October tuwe sana macho na wagombea wetu. View attachment 1500311
Mtu wa ccm na chadema hawaruhusiwi kukaa pamoja ?

Kama hiyo ndiyo siasa bora tubaki na lichama limoja tu
 
Tuwaache hao wachonganishi watapita lakini Tanzania yetu na utanzania utadumu...tupendane
Hakuna mapenzi pasipo kuamimiana, hakuna upendo penye kuoneshana chuki, hakuna mahaba penye kukejeliana.
Utanzania utadumu ikiwa uvumilivu hautachokwa.
TUJIREKEBISHE!

Glenn
 
Wewe mwenyewe ni mtambo wa uzushi
Eti huu nao ni Uzi halafu kwa Akil hizi na Uzushi huu usio na Tija wala Mantiki ndiyo Watu wanataka Kuitoa CCM Madarakani. Upuuzi Mtupu sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…