1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 7,802
- 10,303
Taarifa za chini ya Carpet Nassari atajiunga CCM leo.
Ikumbukwe Nassari alitumia style tofauti ya kuunga mkono juhudi.
View attachment 1498762
AiseeAliyekuwa mbunge wa Arumeru kupitia cdm, amenaswa na camera zetu akiwa na kikao cha kificho na Dc wa ccm.
Kuelekea uchaguzi wa October tuwe sana macho na wagombea wetu. View attachment 1500311
Aliyekuwa mbunge wa Arumeru kupitia cdm, amenaswa na camera zetu akiwa na kikao cha kificho na Dc wa ccm.
Kuelekea uchaguzi wa October tuwe sana macho na wagombea wetu. View attachment 1500311
Chama chenu kilikuwa na fitina toka enzi ya ZittoAmeacha ile kazi yake ya marekani ili aje kuleta fitna ndani ya chama!
Aliyekuwa mbunge wa Arumeru kupitia cdm, amenaswa na camera zetu akiwa na kikao cha kificho na Dc wa ccm.
Kuelekea uchaguzi wa October tuwe sana macho na wagombea wetu. View attachment 1500311
Waliokua wanasababisha fitna ndo hao kina zitti, Kitila and Co. Kwa sasa chama kiko imara kuliko wakati wowote.Chama chenu kilikuwa na fitina toka enzi ya Zitto
Mkisha fanya rasmi ndiyo kutamfanya Pompeo amfungulie Bashite kuingia USA?Picha ya Zamani hiyo...!
Ila mkisumbua itabidi tufanye rasmi sasa...ha ha ha
Kesho anatangaza nia ya kugombea kwa tiketi y ccm pale stediumu .
Mtajaza wenyewe huko..pambaneni na hali yenuMkisha fanya rasmi ndiyo kutamfanya Pompeo amfungulie Bashite kuingia USA?
Gambo alisha sema kuwa uvccm ni wanafiki na wafitina na mkizeeka lazima mtakuwa wachawi na wewe ni mmoja wapoChama chenu kilikuwa na fitina toka enzi ya Zitto