kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,301
- 12,600
Sioni shida hata akihama dini, utakuwa mwendelezo tu wa kuzidi kuzihama dini zetu kama vile wewe ulivyoihama dini ya mababu zako na kuhamia dini za Waarabu na Wayahudi, shame!!WanaJF: Kufuatia muonekano wa picha
hapo chini nataka kujuwa kama huyu bwana mdogo Kesha badilisha Dini au ni mihemuko tu ya ujana ....???
Sent from my SM-N915G using JamiiForums mobile app