Ino
Member
- Dec 20, 2012
- 25
- 7
Siku moja ya ibada kanisani askofu alipitisha mchango kwa ajiri ya ujenzi wa kanisa waumini walichanga sh 35,000 tu, ghafla wakaingia majambazi wakaliteka kanisa na kuamuru kilammoja atoe kilichomo mfukoni mwake,wakakusanya sh 8,2000,000. Baadae majambazi wale wakamwita askofu na kumkabidhi mahela yale bila kuchukuwa hata cent moja wakamwambia endeleza ujenzi wa kanisa, Je! nani mwenye dhambi kati ya majambazi na waumini waliozibania hela?