Je nani alikosea dada/ Kaka au wote?

Je nani alikosea dada/ Kaka au wote?

Kuna dini inaruhusu mtoto wa baba mkubwa na mdogo au mtoto mama mkubwa na mdogo kuoana,ipo Waulize wakristo au waislam utapata majibu kwao,pia Waulize Wahehe wa Iringa watakwambia
Acha chenga wewe...dini gani si useme bayana?,

Mi mkristo hakuna hio kitu
 
Back
Top Bottom