ndandambuli
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 973
- 665
- Thread starter
- #21
KabisaaaaaNyegezi huwa zinafanya uonekane shetani Hiki kizazi
KabisaaaaaNyegezi huwa zinafanya uonekane shetani Hiki kizazi
Kwa mtazamo wako ilianzia kwa Nani hiyo nyegezi?Mwenye kosa ni nyege
Itaachiwa tu msikome kuandamanaduh kwa staili hii ndege yetu haitoachiwa
Unawashauri nini ili waondoke kwenye laana?
SaafiWatubu na waache mara moja.
Hapo sijajuaKwa hiyo dada anatakaje? Anataka umuoe? Hehehe patamu hapo
NitamuulizaUkamkunja kabisa
Sio Mimi mkuu na hawaishi nyumba moja ila ni majirani,kila mtu ana kwakeNasemaga hivi,nyumbani kwangu watu mje msalimie tu Mambo ya ndugu kuweka kambi SITAKI
Salimieni sepeni.
Ujinga wa hivi huanzaga taratibu kama mtoto anae anza kutembea.
Mwanamke/mwanaume akisha pevuka macho yanatamani chochote mbele yake..Sasa haya mambo ya kulea ndugu nyumba moja na mke/mume wako yatawa cost sana.
SEMA nini mkuu...umemla aseee daaah una roho ngumu sana.
Sio Mimi mjombamjombaUfala huo why hukutushirikisha kula kitumbua umekula ndo unatushirikisha Acha hizo basi mjomba mjomba...
Yani unataka tuhalalishe hii dhambi??
😁😁😁😁😁Itaachiwa tu msikome kuandamana
Mmelaaniwa wewe na dada yako.