Je nani alikosea dada/ Kaka au wote?

Je nani alikosea dada/ Kaka au wote?

Daah hivi unaanzaje kumfikilia Dada yako, Kama huo moto upo itabidi nyie muwe wa 1 au wa 3.

Kama unachosema ni kweli basi

😈
MTAKUWA MMEFANYA KOSA KUBWA SANA😠🤬.

Oops nilitaka kusahau itabidi wote mlaaniwe😇
 
Daah hivi unaanzaje kumfikilia Dada yako, Kama huo moto upo itabidi nyie muwe wa 1 au wa 3.

Kama unachosema ni kweli basi

[emoji48]
MTAKUWA MMEFANYA KOSA KUBWA SANA[emoji34][emoji2959].

Oops nilitaka kusahau itabidi wote mlaaniwe[emoji56]
Sio mimi,Lakini tuseme tu kwamba wote wawili wana makosa sio mmoja aliyeshawishi na aliyeshawishika
 
Walaumiwe wazinifu wote hata kama sio hao kaka nadada ila wazinifu wote
 
Laana nje njee
Mnatizamanaje shughuli za familia?..
 
Nasemaga hivi,nyumbani kwangu watu mje msalimie tu Mambo ya ndugu kuweka kambi SITAKI

Salimieni sepeni.

Ujinga wa hivi huanzaga taratibu kama mtoto anae anza kutembea.

Mwanamke/mwanaume akisha pevuka macho yanatamani chochote mbele yake..Sasa haya mambo ya kulea ndugu nyumba moja na mke/mume wako yatawa cost sana.

SEMA nini mkuu...umemla aseee daaah una roho ngumu sana.
Ishu si kuishi na ndugu wanafamilia tunaishi pamoja

Ishu ni binadamu kutokujielewa kwamba huyu ni dada/kaka
 
Dini gani inaruhusu?.
Kuna dini inaruhusu mtoto wa baba mkubwa na mdogo au mtoto mama mkubwa na mdogo kuoana,ipo Waulize wakristo au waislam utapata majibu kwao,pia Waulize Wahehe wa Iringa watakwambia
 
Ishu si kuishi na ndugu wanafamilia tunaishi pamoja

Ishu ni binadamu kutokujielewa kwamba huyu ni dada/kaka
Shetani ana nguvu sana,watu wanauana wanatoa mimba nk,yaani kuelewa kwamba kutoa uhai wa binadamu mwenzako au kuuwa kiumbe kilichoko tumboni ni dhambi kubwa sana,na kwenye hili la dada na Kaka mpaka watoaji mimba na wauaji wanashangaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Toba lailai! Damu moja nyie aisee eeh duuh wanaume mmetushinda tabia
 
Back
Top Bottom