Kitombise
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 8,652
- 25,849
Nina mashaka na wewe, huenda ukawa jipu pia.
Sasa tutakufwatilia
Nina mashaka na wewe, huenda ukawa jipu pia.
sijsom hii thread mimi na wala siishi mtaa huu!Mm busha siyo jipu,nitake radhi mkuu!!Nina mashaka na wewe, huenda ukawa jipu pia.
Sasa tutakufwatilia

Naona unacheza na serikali.. sasa tutakuonyesha kuwa sisi ndo tulioweza mpaka kuzuia mikutano ya upinzaniMm busha siyo jipu,nitake radhi mkuu!!![]()
Hajui kwamba wakimfuatilia hapa kuwa wanweza kumjua kiulaini na umtumbua..!
Teh teh!
FunnyKwa hiyo wewe Ukitaka asijulikane?
kama hivyo ndivyo wewe ni Busha sio Jipu tena
Hasira yanini mkuu,mpe ushauri mtoa mada na siyo kumtukana,Huna akili kichwani wewe.
Unafkiria kuacha kazi haufikirii na kufungwa miaka 7 na faini Mil 15 kwa sheria ya kufoji cheti...Nitaacha kazi maji yakifika shingoni....
Hahaha yan we jamaa na iyo id yako kwa hili sio wa kukuacha kabisa maana hili lako sio jipu bali ni jipu lililodevelop na kuwa uvimbe.Unatafuta huruma hapa nyinyi ndo mmelifikisha hili taifa hapa
