gambachovu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 1,854
- 292
- Thread starter
- #41
huyo ni Mwanahawa Ally. Mimi wanaonikosha zaidi ni Zuhura Shaaban na Sabah Salum Muchacho.
Zuhura Shaaban ndiyo wa EA Melody? Wa kuvaa miwani?
huyo ni Mwanahawa Ally. Mimi wanaonikosha zaidi ni Zuhura Shaaban na Sabah Salum Muchacho.
Mariam Khamis - T.O.T.
Inawezekana hatujaelewana, wewe unamaanisha Malkia wa Mipasho, si ndio? Mimi namaanisha Malkia mke wa Mfalme a.k.a Leila Rasheed, thats my favourite, akifuatiwa kwa karibu na Mariam Amore, yule wa Jahazi aliyeimba Hamchoki KusemaMkuu Mphamvu ,namkubali Malkia ingawaje mi namuona kama heavyweight.. Kwa hawa wa kisasa je.. Wa kwenye miaka mitano-sita ya hivi.. Huna?
Gee Cee
Nawashangaa...
Hamchoki kusemaa...
Basi mtalalama, hadi kiama...
Penzi letu, limeshasimama,
Nyie mtalalama, hadi kiama.
Hapa kwetu raha kwenda mbele,
Nyie endeleeni kupiga kelele...
Inawezekana hatujaelewana, wewe unamaanisha Malkia wa Mipasho, si ndio? Mimi namaanisha Malkia mke wa Mfalme a.k.a Leila Rasheed, thats my favourite, akifuatiwa kwa karibu na Mariam Amore, yule wa Jahazi aliyeimba Hamchoki Kusema
JK ana wimbo unaitwa ajali ya kisiasa. kundi linaitwa family modern taarab.
Sipendi taarabu bt nampenda sana khadija kopa
mi sijui....ila ukiniuliza ipi ya taarb naipenda ntakujibu...maneno ya mkosaji, hakuna mkamilifu, la uchungu
Mimi napenda sana taarab za bungeniMwana fa. na yalaiti napenda pasi kificho . . . . Aa kumbe wa ke ni bi kidude.