Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,177
- 34,444
dear ile supermarket sukari ya kumwaga bei ni 2700 leo tunimejichukulia za matumizi kawahi zisijeisha tena mana ziliadimikaKesho eid
dear ile supermarket sukari ya kumwaga bei ni 2700 leo tunimejichukulia za matumizi kawahi zisijeisha tena mana ziliadimikaKesho eid
bila kukosea yan mkeka wako umeshinda asubuhi viholoso kama vyote inshallah mchana kitu cha biriani
Minal eidin, minal faizinmkuu shukrani
eid mubarak
Sawa madam..karibu eid Kange kesho inshaallah!dear ile supermarket sukari ya kumwaga bei ni 2700 leo tunimejichukulia za matumizi kawahi zisijeisha tena mana ziliadimika
Hao sunni wamefungulia asubuhi ya leo, wengine walishakula dakuHuku kwetu sidhani maana kulikuwa na mawingu sana leo, ila nina imani kesho Eid sababu Sunni wameswali leo (niliwasikia asbh)

Huu ndo udhaifu wetu mkubwa,,


Kwa kweli hata mimi walinistaajabisha sana.Hao sunni wamefungulia asubuhi ya leo, wengine walishakula daku
Kuna dogo namuuliza huu mwez mmeuona saa kumi na moja alfajir
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah ndugu yangu ulipotea aisee.Allahu Akbar.
Mkuu
Bro vipi, upo?.. skukuu wapi, hatualikani
Au ndio hiyo corona![]()
asante nawe karibu huku mwisho wa mji mchukuuniSawa madam..karibu eid Kange kesho inshaallah!
vingine ntaamka mapema nimalizie hapanilipo ni hoi ftar yaleo na maandalizi ntalala mapema tuLeo kulala saa hata saa 7 usiku mpaka viholoso na mapochopocho ya asubuhi yakamilike ryt??
Nipo bro, majukumu mengi nowdays.Daah ndugu yangu ulipotea aisee.
Mwaka na nusu sasa hatujaonana humu jamvini
Pole sana.vingine ntaamka mapema nimalizie hapanilipo ni hoi ftar yaleo na maandalizi ntalala mapema tu
Ahsante madame.!asante nawe karibu huku mwisho wa mji mchukuuni
Thank you! The same applies to youPole sana.
Enjoy your eid & celebrate.
Eid saeed, lets enjoy this happy day.
Aaaamin Ahsante mkuu, Allah atujaalie kwa soteMwenyezi Mungu atukubalie mfunge wetu na waliotangulia Allah awahifadhi pema In Shaa Allah
Eid Mubarak
Nakutakia Eid njema nawe pia na familia kwa ujumla
Sent from my iPhone using Tapatalk