Niko nachek channel 10,, mufti kathibitisha kesho EidddddddddddddddddddddddddddddddddddddddddddKama kichwa cha habari mi niko sehemu ambayo siwezi ona anga vizuri naomba kujua kama kesho ni idd ili nisiharibu ratiba zangu za kutafuta riziki


swaum ya leo ilikuwa kali sanaFebruary ni 28 au 29 na wengine birthday ni baada ya miaka mitatu. 😊😊😊😊😊😊Usiumie kichwa mkuu mwezi una siku 29 au 30 kutegemea na mwandamo wa mwezi.
Ni sawa tu april na june siku 30, may na july 31
tanga banaa karibuuu ndio naandaa andaa hapaMinal aidin.
Eid itakuwa tanga au unakuja dar!!
Issue za corona zimefanya tu-cancel safari ya kuja huko kujumuika na ndugu na family wote kuepuka msongamano.tanga banaa karibuuu ndio naandaa andaa hapa
Just imagine sikukuu ya eid ingekuwa jumatatu na jumanne eid ya 2,February ni 28 au 29 na wengine birthday ni baada ya miaka mitatu.![]()



Tunasikiliza toka Saudia kesho tunaswali iddKama kichwa cha habari mi niko sehemu ambayo siwezi ona anga vizuri naomba kujua kama kesho ni idd ili nisiharibu ratiba zangu za kutafuta riziki
mkate wa kumimina tumeula sana ramadhan sitaupika ntakutumia keki na hivo vingine corona imepungua mkujeeeIssue za corona zimefanya tu-cancel safari ya kuja huko kujumuika na ndugu na family wote kuepuka msongamano.
Nitumie basi japo keki, mikate ya kumimina, jicho la ngamia, visheti nk