Je, mwezi umeandama?

Je, mwezi umeandama?

Wakolosai2
16 Basi, mtu asiwahukumu ninyi katika vyakula au vinywaji, au kwa sababu ya sikukuu au mwandamo wa mwezi, au sabato;

17 mambo hayo ni kivuli cha mambo yajayo; bali mwili ni wa Kristo.
 
*Assalama Alaikum*

*Ofisi ya Mufti wa Z'bar inatangaza rasmin kuwa leo Jumamosi MWEZI UMEANDAMA. Mwezi umeonekana LAMU Matondooni na Singida manyoni, hivyo basi insha'Allah kesho tunaamkia mwezi mosi Shawwal.*
*Ofisi unawashukuru wote walioshiriki ktk kuleta taarifa hizi.*

*(Nadir M. Mahfoudh)*
*(Mjumbe)*

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Assalama Alaikum

Ofisi ya Mufti wa Z'bar inatangaza rasmin kuwa leo Jumamosi MWEZI UMEANDAMA. Mwezi umeonekana LAMU Matondooni na Singida manyoni, hivyo basi insha'Allah kesho tunaamkia mwezi mosi Shawwal.
Ofisi unawashukuru wote walioshiriki ktk kuleta taarifa hizi.
(Nadir M. Mahfoudh)

To be confirmed...
Mkuu shukrani

eid mubarak
 
Mwenyezi Mungu atukubalie amali zetu njema, sote kwa pamoja.
 
Mwenyezi Mungu atukubalie
amali zetu njema, sote kwa pamoja.
 
Back
Top Bottom