witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,099
HahahahahaMmmh, kwa upande wa pesa zilikuja mwishoni mwishoni mwa mwezi huu ingawa hazikuwa za kutosha ila nashukuru kwa kidogo najuwa kingine kikubwa kitakuja,
Ila kwenye mahusiano sasa aisee nibora ningedete na msichana kutoka kundi la Boko haramu au Taribani kuliku kujihangaisha na huyu mshamba wa mji, kokote alipo me namwambia tu kuna ujana pia kuna uzee
kuna kuishi pia kuna Kifo,
kuna moto pia kuna pepoo( mbingu)
siwezi kumtambulisha kwa wazee harafu akanifanyia hivi, atakuja kulipa siku moja, najuwa kunguru hata umkalishe nyumbani vipi hato kaa,
huyu mdada yeye aendelee kuruka ruka tu kama kunguru
Kuna mtu alinipaga laana za hivi mshenzi yule, juzi kaja tena ananililia,
Utanililiaje wakati ushanilaaani