Je Mtz Unahitaji Visa Kwenda South Africa?

Mgoyangi

Senior Member
Feb 6, 2008
184
9
Kuna wakati kulikuwa na makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Afrika Kusini kwamba Mtz akitaka kwenda South hatalazimika kulipia visa, na vivyo hivyo M- south nataka kujua huu mpango ulifikia kuwa kamili ama ulikuwa usanii.

Je Mtz akitaka kwenda South Africa anahitaji Visa? na kuna utaratibu gani wa kupata visa.

Waungwana naomba mnisaidie katika hili.
 
Kuna wakati kulikuwa na makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Afrika Kusini kwamba Mtz akitaka kwenda South hatalazimika kulipia visa, na vivyo hivyo M- south nataka kujua huu mpango ulifikia kuwa kamili ama ulikuwa usanii.

Je Mtz akitaka kwenda South Africa anahitaji Visa? na kuna utaratibu gani wa kupata visa.

Waungwana naomba mnisaidie katika hili.

Yeah visa ni lazima uwe nayo ili uweze kwenda South Afrika. Makubaliano yaliyopo kwenye nchi wanachama wa SADC ni kwamba huhitaji kuwa na visa kwenda nchi yoyote ambayo ni member wa SADC na nilishawahi kwenda Botswana bila visa. Ila South Afrika pamoja na kuwa member wa SADC wali-impose hii kitu baada ya kuona wabongo wanazamia sana huko. Sijui kama hii ni kwa WaTZ tu au na kwa nchi zingine ambazo ni wanachama wa SADC.
 
Yeah visa ni lazima uwe nayo ili uweze kwenda South Afrika. Makubaliano yaliyopo kwenye nchi wanachama wa SADC ni kwamba huhitaji kuwa na visa kwenda nchi yoyote ambayo ni member wa SADC na nilishawahi kwenda Botswana bila visa. Ila South Afrika pamoja na kuwa member wa SADC wali-impose hii kitu baada ya kuona wabongo wanazamia sana huko. Sijui kama hii ni kwa WaTZ tu au na kwa nchi zingine ambazo ni wanachama wa SADC.
Namie nimeshangaa nadhani ni kwa Tz tu na baadhi maana Malawi, Swazi na wengine naona wanaingia tu,
still on the subject, je whats the minimum travel to SA?
 
Namie nimeshangaa nadhani ni kwa Tz tu na baadhi maana Malawi, Swazi na wengine naona wanaingia tu,
still on the subject, je whats the minimum travel to SA?


Sio kweli kwamba ni kwa Watanzania peke yao. Hata wananchi wa Zambia, Zimbabwe, Mozambique, Angola, Madagascar n.k wanatakiwa wawe na visa. Ila kuna wananchi wa Swaziland, Lesotho na Namibia hawa hawaitaji visa ya kwenda S.Africa. Hizi nchi kimsingi zina Custom Union ya pamoja kama sisi tunavyotaka kufanya kwenye East Africa Community.

Hivyo wana uhuru zaidi ya maingiliano ya watu na biashara kati ya nchi yao. Ukienda Namibia pesa inayotumika ni South African Rand. Kimsingi wa Tanzania tulipaswa tuingie South Africa bila visa au hata kupatiwa visa pale Airport lakini kwa sababu za kuzamia watu wengi huko, serikali ya S. Africa mpaka sasa inasita kufanya hivyo.

Sasa hivi ni peak season bei ziko juu. Nauli kwenda Jorburg na kurudi kwa SAA ni $774. Kuna Air Zambezi inapitia Lusaka wameanza karibuni na bei zake haziko kwenye System lakini itakuwa bei poa kidogo. Ukiwataka nenda JM Mall uliza Fast Track,
 
Kuna wakati kulikuwa na makubaliano kati ya Serikali ya Tanzania na Afrika Kusini kwamba Mtz akitaka kwenda South hatalazimika kulipia visa, na vivyo hivyo M- south nataka kujua huu mpango ulifikia kuwa kamili ama ulikuwa usanii.

Je Mtz akitaka kwenda South Africa anahitaji Visa? na kuna utaratibu gani wa kupata visa.

Waungwana naomba mnisaidie katika hili.

Sina uhakika kama wamefanya mabadiliko ya utaratibu hivi karibuni (na inategemea unakwenda kwa shughuli gani) ila walikuwa wanakuhitaji uwe na
1.Pasi ya kusafiria- ukiweza utoe nakala moja ya ukurasa wenye taarifa zako.
2.Barua ya mwaliko kutoka kwa mwenyeji wako-hata kama unakwenda mkutanoni au vinginevyo
3. Ada ya maombi ambayo ilikuwa sh 37,000/- za Tanzania
4. Nakala mbili za passport size
5. Barua ya mwajiri wako (kama umeajiriwa)
6. Utajaza fomu -ipo ubalozini kwao.

- Watatumia muda wa siku 3 za kazi kushughulikia maombi yako
- Pia waliacha utaratibu wa kutoa 'transit visa'
 
Sio kweli kwamba ni kwa Watanzania peke yao. Hata wananchi wa Zambia, Zimbabwe, Mozambique, Angola, Madagascar n.k wanatakiwa wawe na visa. Ila kuna wananchi wa Swaziland, Lesotho na Namibia hawa hawaitaji visa ya kwenda S.Africa. Hizi nchi kimsingi zina Custom Union ya pamoja kama sisi tunavyotaka kufanya kwenye East Africa Community.

Hivyo wana uhuru zaidi ya maingiliano ya watu na biashara kati ya nchi yao. Ukienda Namibia pesa inayotumika ni South African Rand. Kimsingi wa Tanzania tulipaswa tuingie South Africa bila visa au hata kupatiwa visa pale Airport lakini kwa sababu za kuzamia watu wengi huko, serikali ya S. Africa mpaka sasa inasita kufanya hivyo.

Sasa hivi ni peak season bei ziko juu. Nauli kwenda Jorburg na kurudi kwa SAA ni $774. Kuna Air Zambezi inapitia Lusaka wameanza karibuni na bei zake haziko kwenye System lakini itakuwa bei poa kidogo. Ukiwataka nenda JM Mall uliza Fast Track,
Thanks so much Byasel, kuunganisha Zambia no unachoka nimepitia hiyo juzi, nitawatafuta,
 
Sio kweli kwamba ni kwa Watanzania peke yao. Hata wananchi wa Zambia, Zimbabwe, Mozambique, Angola, Madagascar n.k wanatakiwa wawe na visa. Ila kuna wananchi wa Swaziland, Lesotho na Namibia hawa hawaitaji visa ya kwenda S.Africa. Hizi nchi kimsingi zina Custom Union ya pamoja kama sisi tunavyotaka kufanya kwenye East Africa Community.

Mkuu,watu wa Msumbiji huwa hawahitaji Visa kuweza kuingia Africa Kusini. Kuna rafiki yangu kutoka huko nilimuuliza akaniambia kuwa wao hawahitaji hizo visa.
 
Back
Top Bottom