Je mtu mwenye aleji aruhusiwi kutoa damu

Je mtu mwenye aleji aruhusiwi kutoa damu

Mr Kazembe

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2019
Posts
392
Reaction score
529
Mimi ni kijana wa miaka 23 mimi huwa sili kabisa mayai na harufu yake nikiskia natapika.

Jana niljtoa damu Muhimbili kwa ajili ya ku save maisha ya rafiki yangu niliuliza kama na aleji nikajibu sina ila baada ya kutolewa damu nilihisi kzungu zungu sana mpka nikajikuta sijui nini kinaendelea nilipo kuja kujua nini kinaendelea huku kizungu zungu na macho kua mazito nilitapika na baada ya kutapika tu nikawa sawa.

Je, hili tatizo na siluhusiw tolea mtu damu.....
 
TATIZO NINI
Kwa baadhi ya watu wanapochangia damu huwa inawatokea hyo hali. Kizunguzungu au kichwa kuuma. Ndo maana centre nyingine ukishachangia damu wanakupa soda au glucose na unashauriwa kutulia kwa muda kidogo kabla ya kuondoka.
 
Back
Top Bottom