Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,695
- 1,696
Sipati picha imekuwaje leo Mtanzania linawafagilia Chadema kiasi hiki ambacho si cha kawaida?
Pata udondozi wa Kichwa Kikuu Cha Habari:
KAMPENI SI MCHEZO
Dk. Slaa Naye "Afunika"
- Ataanza kushughulikia Uzalendo
- Akosoa Sera ya CCM ya Kilimo Kwanza
- Aahidi Kupandisha Kima Cha Chini Hadi Sh. 350,000/=
.
Lazima kutakuwa na namna, si kawaida? ama wameadabishwa na Umati wa Jana hasa baada ya Marina kuponea Kipigo?
Pata udondozi wa Kichwa Kikuu Cha Habari:
KAMPENI SI MCHEZO
Dk. Slaa Naye "Afunika"
- Ataanza kushughulikia Uzalendo
- Akosoa Sera ya CCM ya Kilimo Kwanza
- Aahidi Kupandisha Kima Cha Chini Hadi Sh. 350,000/=
.
Lazima kutakuwa na namna, si kawaida? ama wameadabishwa na Umati wa Jana hasa baada ya Marina kuponea Kipigo?