ukiangalia kila kiongozi tanzania ni fisadi.na kila siku humu watu tunakaa na kujadili na kulalamika sana kuhus viongozi wetu hawa.
Swali ni je tumekaa na kufikiria ni nani atafaa kuingoza tanzania kunako 2010?.maana hiyo 2010 siyo mbali atii, hivi sasa tupo tunaingia april 2009 inamaana sasa hivi ni wakati muafaka wa kuandaa wagombea wa kiti cha uraisi 2010 (iwe ccm or chadema,cuf etc).
Mimi nadhani ni wakati muafaka akijitokeza mwanamke hii 2010 kugombea hicho kiti cha raisi, it doesnt matter anatokea chama gani.wako smart women kwenye tanzanian politics wengi tuu ambao wana qualify.mfano akina anna makinda (very smart and strong woman) na wala siyo fisadi.
ukiangalia kwenye uchaguzi wa marekani watu wengi walikuwa hawaamini kabisa marekani ingeweza kuongozwa na mwanamke.look at hilary alikuwa kidogo tuu achukue uraisi,she never back down no matter what ali-stand up strong.i believe kuna wamawake tanzania wako strong and smart kama hilary clinton.
Raia Wa Tanzania, mwenye miaka zaidi ya 35, ana akili timamu, hajawahi kushtakiwa kwa uhalifu, na anayependekezwa na chama cha siasa.