Wadau,
Nimekuwa nikifuatilia mijadala inayoendelea katika forum hii. Nataka kutoa changamoto kwa wadau wenzangu ili tujadili swali lifuatalo:
Je, ni mtanzania gani ana SIFA na VIGEZO vya kuiongoza Tanzania? Wachangiaji wanaweza kupendekeza majina MATATU.
Itakuwa vyema kama wachangiaji watatoa sababu zinazowafanya watoe mapendekezo hayo?
Nawasilisha hoja:
UPDATE:
Majina Matatu (makubwa) Yaliyopendekezwa:
Nimekuwa nikifuatilia mijadala inayoendelea katika forum hii. Nataka kutoa changamoto kwa wadau wenzangu ili tujadili swali lifuatalo:
Je, ni mtanzania gani ana SIFA na VIGEZO vya kuiongoza Tanzania? Wachangiaji wanaweza kupendekeza majina MATATU.
Itakuwa vyema kama wachangiaji watatoa sababu zinazowafanya watoe mapendekezo hayo?
Nawasilisha hoja:
UPDATE:
Majina Matatu (makubwa) Yaliyopendekezwa:
- Jakaya Kikwete - CCM
- Willibrod Slaa - CHADEMA
- Ibrahim Lipumba - CUF