Je, mshitakiwa anaweza kuomba mahakamani ili kesi yake ihairishwe siku hiyo

ALLY MWINYI

Member
Aug 10, 2019
19
18
Naomba msaada wa kisheria.

Ukiwa kama wewe ni mshitakiwa ambapo kesi yako imeshatajwa mara mbili na ulitokea ikahairishwa hadi muda mwengine ndo ianze kusikilizwa, ndani ya muda huo wewe hautakuwa na muda sababu ya jambo lako binafsi (sio lazima niliweke hadharan), ambalo haliwezi kukubaliwa na mahakama ikiwa utalisema.

In short, tuseme tu hutaki kesi yako isikilizwe siku hiyo kwa sababu maalum. Je kuna mbinu gani unazoweza kutumia ikifika siku ya kesi mdhamini wangu akafika mahakamani na kutoa sababu ya kwanini sijatokea mahakamani ili walau ipigwe kalenda hata wiki au zaidi? Au je, mshitakiwa mwenyewe anaweza kutokea na akatoa sababu ili kesi yake ihairishwe siku hiyo?

Note: Kesi ni ya jinai baina ya mdogo mtu (mshitakiwa) na kaka yake (mlalamikaji) hawa wameshare baba mmoja ila mama tofauti, na mdhamini wa mdogo mtu ni mama yake mzazi.

Serious msaada nahitaji.
 
Siku ulipopangiwa tarehe ya kesi ungeweza kabisa kuomba tarehe ingine, mahakimu huwa wanasikiliza pande zote.

Hata hivyo, bado kuna uwezekano mdhamini wako akaenda mahakamani siku ya kesi na akaomba tarehe nyingine kwa kutoa sababu zilizofanya usifike mahakamani japo sijui uzito wa hizo sababu vile umekataa kuzitaja.
 
Mdhamini awai siku ya kesi akatoe taarifa kuwa umezidiwa alfajili,kwaiyo umewaishwa hospital, case itahairishwa, ila siku utakayoenda huende na karatasi ya matibabu toka hospital ya serikali au zahanati ya serikali, kwaiyo siku hiyohio ya date ya kesi nenda hospital kamdakishe dokta elfu kumi akuandikie karatasi ya matibabu ya tumbo la kuhara, simple sanaa.
 
Hapo excuse ni ugonjwa tu ambayo mdhamini wako anawajibika kupeleka taarifa hiyo mahakamani

Na siku ukienda mahakamani hakikisha una ushahidi wa matibabu kwa siku hiyo

JIONGEZE
 
Back
Top Bottom