Je, MSD na Brig. Gabriel Mhidize, Itawezekana?

Je, MSD na Brig. Gabriel Mhidize, Itawezekana?

Watu wa Iringa hao. Watu wa Iringa Wengi ndio wapo Kwenye system ya SECURITY na Usalama. Tena wapo Kwenye Senior Positions. Jeshini na Tanzania Intelligence Services ndio wapo wengi sana

Haijalishi Nchi hii ni milki ya watanzania na sio kabila fulani
 
MSD wanasambaza vyandarua nchi nzima kwa landcruiser hardtop kwenye vijiji vyote, why? Zoezi linachukua miezi sita.
Mnashindwa ku decentralize kwenye Halmashauri wafanye kazi hiyo?
Hatutasogea kwa haraka kwa tabia hiyo ya kutaka mfanye kila kitu chenye posho.
TAMISEMI wangeratibu zoezi nchi nzima kwa wiki mbili tu, sasa kwa urasimu wa MSD watafanyakazi hiyo kwa nusu mwaka.
 
MSD wanasambaza vyandarua nchi nzima kwa landcruiser hardtop kwenye vijiji vyote, why? Zoezi linachukua miezi sita.
Mnashindwa ku decentralize kwenye Halmashauri wafanye kazi hiyo?
Hatutasogea kwa haraka kwa tabia hiyo ya kutaka mfanye kila kitu chenye posho.
TAMISEMI wangeratibu zoezi nchi nzima kwa wiki mbili tu, sasa kwa urasimu wa MSD watafanyakazi hiyo kwa nusu mwaka.

Ni nani aliyewapa Hii idhini, ina maana Mjeshi ndio kapitisha hii kitu ? Kama ni yeye basi JPM aanze uchunguzi wa huyu Mtu na wale Wote waliohusika katika hili zoezi. Yaani li msd sijui lililogwa na nani
 
Haijalishi Nchi hii ni milki ya watanzania na sio kabila fulani

Ni sahihi kabisa. Ila cha ajabu moja ya kashfa kubwa ya MSD ni kuajiri Kikanda. Kama si kweli serikali ikachunguze hizi tuhuma. Watu wanatakiwa kuajiriwa kutokana na competence na sio tofauti . Kuna mizoga MSD kazi yao ni dili fake na kuvuta posho za nguvu huku taasisi hakuna inachofanya
 
Bado unataka ushahidi. Nadhani Brigedia kafanya ukaguzi wa kutosha na amekutana na mengi Kwenye kupenyeza ajira za kikanda bila kufuata Utaratibu wa kuajiri katika taasisi za umma. Kupandisha watu madaraja kikanda hii pia imewakosti. Matumizi mabaya ya fedha na rushwa ya ngono. Tafakari na JPM HAPA KAZI TU
Hao waliokuwa wanapendelewa walikuwa Kanda gani mkuu?
 
Huyu Bwanakunu hata uraia wake ni wa mashaka!! Watu wanaopewa madaraka makubwa ya kuongoza taasisi nyeti za umma inapaswa wachunguzwe na TIS!! Ndo maana akatafuna fedha za MSD bila huruma!! Apewe hukumu kali na wenzake ili iwe fundisho kwa wengine!!
Hilo jina Mbona gumu na sio common kwa watanzania?
 
MSD wanasambaza vyandarua nchi nzima kwa landcruiser hardtop kwenye vijiji vyote, why? Zoezi linachukua miezi sita.
Mnashindwa ku decentralize kwenye Halmashauri wafanye kazi hiyo?
Hatutasogea kwa haraka kwa tabia hiyo ya kutaka mfanye kila kitu chenye posho.
TAMISEMI wangeratibu zoezi nchi nzima kwa wiki mbili tu, sasa kwa urasimu wa MSD watafanyakazi hiyo kwa nusu mwaka.
Uko sahihi na njia wanayotumia ni gharama kubwa
 
Watu wa Iringa hao. Watu wa Iringa Wengi ndio wapo Kwenye system ya SECURITY na Usalama. Tena wapo Kwenye Senior Positions. Jeshini na Tanzania Intelligence Services ndio wapo wengi sana
Hii ni kwanini mkuu?
 
Ni sahihi kabisa. Ila cha ajabu moja ya kashfa kubwa ya MSD ni kuajiri Kikanda. Kama si kweli serikali ikachunguze hizi tuhuma. Watu wanatakiwa kuajiriwa kutokana na competence na sio tofauti . Kuna mizoga MSD kazi yao ni dili fake na kuvuta posho za nguvu huku taasisi hakuna inachofanya
Muajiri ndio board ya korosho eeh
 
Msd ndio wanadaiwa kuliko taasisi zoye za serikali,waambie walipe madeni tupate dawa,hosp za serikali hazina dawa ukienda maduka ya msd kumejaa chupa za drip.

Ina maana mpaka leo yule Mjeshi nae mpaka leo hajaweza kutatua changamoto ? Atakuwa anafanya kazi na watu wale wale waliokaa muda mrefu ofisini na hawana mawazo mapya tena
 
Mengine ni majungu kama kawaida. Sio lila habari ni habari

Itifaki za majadiliano ni kuonesha kuwa wewe sio MJINGA kwa maana ya ; unapokanusha hoja fulani unatakiwa hapo hapo kutoa ile unayohisi sio Majungu. Vinginevyo utakuwa Mropokaji. Ina maana mpaka kaondokewa bado kaondokewa kimajungu?
 
Itifaki za majadiliano ni kuonesha kuwa wewe sio MJINGA kwa maana ya ; unapokanusha hoja fulani unatakiwa hapo hapo kutoa ile unayohisi sio Majungu. Vinginevyo utakuwa Mropokaji. Ina maana mpaka kaondokewa bado kaondokewa kimajungu?

Majungu kazi za umma ndio mitaji yao. Ukweli upo na uongo kibao. Siku hizi mkuu kuvuruga hayo mambo, akimuondoa mtu, analeta mwingine kutoka asikojulikana
 
Huyo Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala alikuwa ni hawara wa Bwanakunu na amefanya naye mauchafu mengi. Anaitwa Vicky Elangwa
Huyu Vick sifa yake kubwa anajua robbing sana kapiga pesa sana za ma supplier , mtu wa njama njama sana aliifanya msd kama ya kikanda akamponza muhaya bure eti naskia kapewa shavu bodi ya korosho jamani muwe waangalifu nyie wa utumishi
 
Back
Top Bottom