Je, mnaukumbuka wimbo huu? Naapa naahidi mbele ya chama...

Marytina

JF-Expert Member
Jan 20, 2011
9,295
7,155
NAAPA, naahidi mbele ya chama mapindizi ni cha kulinda mpaka kufa
Wana JF mnakikumbuka hiki kiitikio wakati wa mchakamchaka miaka ya 90 shule za msingi?

CCM IKO JUU,IMETUFIKISHA HAPA BAADA YA MIAKA 50.

IRINGA-KILOLA PHOTO 2008

 

Attachments

  • uzao wa CCM.jpg
    uzao wa CCM.jpg
    100.7 KB · Views: 185
NAAPA, naahidi mbele ya chama mapindizi ni cha kulinda mpaka kufa
Wana JF mnakikumbuka hiki kiitikio wakati wa mchakamchaka miaka ya 90 shule za msingi? QUOTE]

Sasa naahidi mbele ya chama....Mapinduzi nitakulinda mpaka kufa!!!

Mkuu bado wanayalinda....kina January Makamba, Ridhiwani, Hussein Mwinyi,..................
 
Watanzania wengi wameukubali umaskini kama nature yao. Exactly kama wanavyokubali Mwafrika ana ngozi nyeusi na itakua hivyo milele.
Long way to go.
 
Yaani ulivyosema mchakamchaka tu ndo umenimalliza nguvu maana hiyo ilikuwa ni balaa baridi kaliii halafu mnakimbizwa kha!!!
 
NAAPA, naahidi mbele ya chama mapindizi ni cha kulinda mpaka kufa
Wana JF mnakikumbuka hiki kiitikio wakati wa mchakamchaka miaka ya 90 shule za msingi? QUOTE]

Sasa naahidi mbele ya chama....Mapinduzi nitakulinda mpaka kufa!!!

Mkuu bado wanayalinda....kina January Makamba, Ridhiwani, Hussein Mwinyi,..................
Wana akili za kushikiliwa
 
Miaka hiyo tulikuwa tunafundishwa Siasa (uraia siku hizi), hapo tulikuwa na fundishwa katiba ya chama na muundo wa chama kuanzia tawi hadi Halmashauri kuu ya chama lakini tulikuwa hatufundishwi kabisa kujua katiba ya Nchi. Tena kama Raisi anakuja saa saba sisi tupo Barabarani kuanzia saa moja asubuhi tunamsubiri. Sijui walikuwa wanawaza nini?
 
Habari wana JF, poleni na majukumu mbalimbali!!!!

Nabisha hodi kwani ni mara ya kwanza kupost hoja humu jamvini. Hodi Hodi......................

Kwa wale wanajamvi waliozaliwa miaka ya 70s mnakumbuka kiapo hiki??

Enzi tulipokuwa na chama kimoja yaani CCM, inapotokea sherehe fulani hasa za kichama tulikuwa tukiimba nyimbo fulani fulani bila kuangalia siku za baadaye.

Kwa wale wenzangu tunaotaka mabadiliko 2015 naomba tuungane tutengue kiapo hiki!!

Mnakumbuka wimbo huu??
Naapa naahidi mbele ya chama Mapinduzi nitakulinda mpaka kufa!!!} chorus

Mapinduzi ungali mto-to mdogo nimepewa nikulinde upate makamo

Chorus
Mimi binafsi nimetengua nadhiri hii ili 2015 Chadema ituchukue nchi wewe je???? chukua hatua!!!!!
 
"Mapinduzi mtoto mzuri umezaliwa nitakulea mpaka utakapokua".

Kipindi hicho mjomba wangu alikuwa anasoma Bukoba Sekondari mwaka 1978 akirudi likizo alikuwa anapenda sana kuniimbia nyimbo hizi. Na zingine za wanamuziki kama "KAKA POA, POA, KAKA POA ,SALAMA NAKUJA,....., ZUWENA NINGEMPATA WAPI,....,... Aisee umenikumbusha mbali sana,...., my uncle (RIP) was like a friend to me!
 
"Chama Cha Mapinduzi" x3 Dumisha Ujamaa, Mwenyekiti Nyerere x3, dumisha ujamaa. Makamu Ndugu Jumbe x3...
 
Ha haa! unakataaa kile ulichokuwa unaapa na kunenea tofauti na hicho! mfano kisidumishwe milele bali tupate chama kingine chenye kuleta mabadiliko katika nchi yetu!
 
Habari wana JF, poleni na majukumu mbalimbali!!!!

Nabisha hodi kwani ni mara ya kwanza kupost hoja humu jamvini. Hodi Hodi......................

Kwa wale wanajamvi waliozaliwa miaka ya 70s mnakumbuka kiapo hiki??

Enzi tulipokuwa na chama kimoja yaani CCM, inapotokea sherehe fulani hasa za kichama tulikuwa tukiimba nyimbo fulani fulani bila kuangalia siku za baadaye.

Kwa wale wenzangu tunaotaka mabadiliko 2015 naomba tuungane tutengue kiapo hiki!!

Mnakumbuka wimbo huu??
Naapa naahidi mbele ya chama Mapinduzi nitakulinda mpaka kufa!!!} chorus

Mapinduzi ungali mto-to mdogo nimepewa nikulinde upate makamo

Chorus
Mimi binafsi nimetengua nadhiri hii ili 2015 Chadema ituchukue nchi wewe je???? chukua hatua!!!!!

Ubeti wa pili ulikuwa hivi:

"mapinduzi ungali mtoto mdogo, nimepewa jukumu la kukulinda wewe"

chorus.

Mimi binafsi wakati naapa ilikuwa kabla ya azimio la zanzibar. Chama kilikuwa ni cha wakulima na wafanyakazi waadilifu na wazalendo.

Sasa hivi siiiooooo kabisa. Ni chama cha wafanyabiashara, mafisadi na wahalifu.
 
Habari wana JF, poleni na majukumu mbalimbali!!!!

Nabisha hodi kwani ni mara ya kwanza kupost hoja humu jamvini. Hodi Hodi......................

Kwa wale wanajamvi waliozaliwa miaka ya 70s mnakumbuka kiapo hiki??

Enzi tulipokuwa na chama kimoja yaani CCM, inapotokea sherehe fulani hasa za kichama tulikuwa tukiimba nyimbo fulani fulani bila kuangalia siku za baadaye.

Kwa wale wenzangu tunaotaka mabadiliko 2015 naomba tuungane tutengue kiapo hiki!!

Mnakumbuka wimbo huu??
Naapa naahidi mbele ya chama Mapinduzi nitakulinda mpaka kufa!!!} chorus

Mapinduzi ungali mto-to mdogo nimepewa nikulinde upate makamo

Chorus
Mimi binafsi nimetengua nadhiri hii ili 2015 Chadema ituchukue nchi wewe je???? chukua hatua!!!!!

Tobaaa umevunja kiapo? au umekisahau

"Kiapooooooooooooooooo
kiapooooooooooooooooooo
we ni nani?
mimi ni chipukizi wa ccm
nitakilinDa chama changu cha ccm
na kuitumimia serikali yangu tanzania
................. saa yoyote, siku yoyote........ na mahali popote nitakapokuwa
MUNGU NISAIDIE"
 
Tobaaa umevunja kiapo? au umekisahau

"Kiapooooooooooooooooo
kiapooooooooooooooooooo
we ni nani?
mimi ni chipukizi wa ccm
nitakilinDa chama changu cha ccm
na kuitumimia serikali yangu tanzania
................. saa yoyote, siku yoyote........ na mahali popote nitakapokuwa
MUNGU NISAIDIE"

Ha haaaa umenikumbusha mbali sana! uwi inabidi kuendelea kuvunja viapo vyote! du
 
Back
Top Bottom